Msaada: Natafuta kazi, yeyote atakayenisaidia nitashukuru sana

Gyme

New Member
Mar 1, 2023
4
16
Habari ndugu zangu, mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24. Ninaomba msaada wenu kama kuna mtu yeyote anaweza kunisaidia nikapata kazi.

Elimu yangu kidato cha sita japo chuo nimesoma Ila niliishia mwaka wa pili.

Msahada wenu jamani, kwa yoyote mwenye connection maisha ni kusaidiana please!

Napatikana Dar es Salaam


NB: Niko tayari kwa kazi yoyote ambayo inampendeza Mungu, ahsanteni.
 
Habari ndugu zangu, mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24. Ninaomba msaada wenu kama kuna mtu yeyote anaweza kunisaidia nikapata kazi.

Elimu yangu kidato cha sita japo chuo nimesoma Ila niliishia mwaka wa pili.

Msahada wenu jamani, kwa yoyote mwenye connection maisha ni kusaidiana please!

Napatikana Dar es Salaam
Mawasiliano: 0786803204 au 0747222282

NB: Niko tayari kwa kazi yoyote ambayo inampendeza Mungu, ahsanteni.

Kuwa Makini na MAFATAKI wasije kukurubuni wakakupa "NGOMA" wakasepa kwa ujanja wa kukupa kazi.

Epuka mtoa connection atakayeingiza mambo ya Mapenzi ,ukiona hivyo hapo Kimbia.
 
Habari ndugu zangu, mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24. Ninaomba msaada wenu kama kuna mtu yeyote anaweza kunisaidia nikapata kazi.

Elimu yangu kidato cha sita japo chuo nimesoma Ila niliishia mwaka wa pili.

Msahada wenu jamani, kwa yoyote mwenye connection maisha ni kusaidiana please!

Napatikana Dar es Salaam
Mawasiliano: 0786803204 au 0747222282

NB: Niko tayari kwa kazi yoyote ambayo inampendeza Mungu, ahsanteni.
Mbona una expose sana mawasiliano y'all? Utaangukia pabaya na watu watakaoitumia shida yako kumaliza haha zoo. Ingia zoomtanzania.co.tz kuna kazi huwa zinatangazwa kule
 
Kawe winga kkoo, umri wako safi sana. Kapambane kabla hujajua sana starehe. Paka ufike 28 ww ni kamilionea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom