Msaada: Napata mtihani kupata field

Dec 14, 2018
66
79
MREJESHO:
Nimefanikiwa kusaidiwa kupata field wakuu, mungu awabariki wote mliotoa mchango wenu wa kimawazo katikabuzi huu. 🙏




Wakuu habari za wakati huu,

Wakuu habari za wakati huu, Nakuja kwenu kwa ombi la unyenyekevu: Msaada katika kutafuta fursa ya mafunzo kwa vitendo. (FIELD). Kwa sasa ni mwanafunzi wa mwaka wa 2 hapa UDSM (UDBS)

Nimetembelea kampuni nyingi, nikikabidhi barua, lakini wapi. One trick naikuta kote, Unaambiwa kiupole tutakupigia = ndo nitolee, unajiongeza unapita kushoto.

Ila bado naamini kwamba kwa mwongozo wenu, ninaweza kukuza ujuzi unaohitajika ili kufanikiwa.

Kwa shukrani na uvumilivu usio na shaka,
Kijana wenu.
 
Wakuu habari za wakati huu,

Nakuja kwenu with a humble plea: Msaada in finding a practical training opportunity. (FIELD). Am currently a 2nd year student hapa UDSM (UDBS)

I've been to numerous companies, handing out barua, but wapi. One trick naikuta kote, its humbly said tutakupigia = ndo nitolee, unajiongeza unapita kushoto.

Ila bado naamini that with your guidance, I can develop the skills necessary to succeed in this finance industry.

With gratitude and unwavering perseverance,

Kijana wenu.
 
Pole, wenye msaada watakutafuta.

Hata mimi miaka hiyo ya zamani nimewahi kumbana na changamoto kama yako lakini baadae mambo yalikaa sawa nikapata nafasi.

Nilisoma course ambayo ilikuwa ngeni hivyo kupelekea ugumu wa kupata sehemu ya kufanyia mazoezi.
 
Wakuu habari za wakati huu,

Nakuja kwenu with a humble plea: Msaada in finding a practical training opportunity. (FIELD). Am currently a 2nd year student hapa UDSM (UDBS)

I've been to numerous companies, handing out barua, but wapi. One trick naikuta kote, its humbly said tutakupigia = ndo nitolee, unajiongeza unapita kushoto.

Ila bado naamini that with your guidance, I can develop the skills necessary to succeed in this finance industry.

With gratitude and unwavering perseverance,

Kijana wenu.
Mobile. +255 733 139 827

Email anatory.cfa@gmail.com
nahisi kama vile umechelewa pia, naona wengi wanaomba March huko
usikate tamaa, endelea kujaribu
 
Imekuwa ni changamoto sana kwa vijana wengi wasiojuana na watu kupata FPT stations. Most wanakuwa discouraged na sehemu nyingi wanazoomba na hapo ni fields tu, bado hujazungumzia mambo ya volunteering na sio kama vituo hamna ni ukiritimba na urasimu tu.
 
Mimi huwa nashangaag kwaza mtu unakosaje field mimi wakata nasoma najua mwezi fulani nafanya field nasambaza barua za field miezi mitatu kabla na ukiwa unasoma lazima uwe unafanya research ndogo ndogo ili ujue ni maeneo gani kwako ni vyepesi kupata kazi au kufanya field
Naam nakubaliana na wewe kuwahi. Pia na mimi nimewahi kutuma lakini hadi sasa hakuna jibu.
 
UDBS,hapa nafikili ni college of business,hivi kama unasoma business huwezi ukatenga Laki mbili alafu ukafanya hata biashara ya viatu tu hapo posta alafu daily ikawa unaandikia report changamoto na manufaa kwa Muda wa siku 56 Kisha ukampa supervisor!?ni lazima uende halimashauri au kwenye companies? Auu business courses ni kwa ajili ya taasisi kubwakubwa tu!?

Samahani mi sikusoma business,so mko free kunitoa tongotongo
 
Back
Top Bottom