Mhaya wa Arsenal
Member
- Dec 14, 2018
- 89
- 166
- Thread starter
- #61
Nililisahau hilo kiukweli. Nasoma Bcom Finance. Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam nimeomba field hapa hapa sehemu kadhaa lakini kimya.Kwa staili hii kweli itakuwa ngumu..
Unasoma UDBS sawa Je ni Course ipi?
- Finance
- Banking
- Accounting
- HRM
- Tourism and Hospitality
- Marketing e.t.c
Yaani unaomba msaada lakini unashindwa kujieleza!!!
Mnatuangusha kwa kweli