mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 94,167
- 132,689
nakukubali chief...sana sana tanzania kwenye gold tusha chafuka sana nje tunaonekana wote wapigaji na serikali imewakingiaa kifua wapigaji mpaka sasaKama ni mnunuzi Genuine nashukuru mrangi,tabu ya biashara hii ina wapigaji wengi ajabu!ndugu yangu aliniletea wateja toka china,sasa kwa kuwa si mzoefu ilibidi niulize wenyeji kwenye biashara hii....lahaula wakataka kuwatapeli wachina wangu tukawatoa mbio na mikwaju.....inahitaji umakini sana kwa kweli!
Last edited by a moderator: