Msaada: Nani ananunua madini Dar es Salaam?

Msaada: Nani ananunua madini Dar es Salaam?

Puna

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2013
Posts
2,773
Reaction score
4,871
Wakuu naomba kujua ni tajiri gani hapa Dar-es-salaam ananunua madini,kama vile Gemstone.Maana naona wamejaa madalali tu.Sasa kama kuna mtu ananunua madini anapatikana Dar maeneo gani?Msaada tafadhari.
 
hata hao wewe ambao utawaona matajiri nao ni watu wa kati wametumwa kutoka kwao,wanunuzi ni wengI kikubwa wewe una madini ya aina gani na ubora wake ukoje? jibu kama ntakuwa na idea nayo ntaku pm namba ya mnunuzi au ntakuelekeza wapi uende...
 
una madini gan mbona hausemi, au hautaki msaada. kama haujibu kafutilie mbali hicho kitangazo chako,
 
ubora wake vp? kuna mzungu mmoja anaitwa malapa alikuwaga block41 kino ila kahama hapo...kwa sasa sijui kahamiaa wapi hayo ndyo style yake ila hakikisha rangi yange inakuwa ya table colour au ukiweka kiganjani rangi unaionaaa...isiwe na cracks wala inclusions size kuanzia grm 2 kwenda juu....mtafute malapa uliza kama yuko mjini kafanya biashara
 
tatizo hapa ni aina gani ya madini uliyonayo na uhalisia wake isijeikawa ni ya ya matapeli yenye kuonyesha kiasi kikubwa cha fedha wakati ni feki
 
nenda kwa malapa uliziaa ofisi yake iko wapi....umfate kama mawe yako ni mazuri mtafanya kazi au nenda nyuma ya bestbite kinondoni kuna mthailand mmoja anaitwa prayun kwake kuna wanunuzi wengi tu wanafikia kutoka thailand wananunua madini....kazi kwako
 
rose ganet.

rose inatakiwa iwe katka round shape yani gololi iwe kuanzia gramu 2 nakuendelea.yakiwa madogo huuzi.inasumbua sna.masoko yapo ila quality na ukubwa ndyo unatakiwa
 
ubora wake vp? Kuna mzungu mmoja anaitwa malapa alikuwaga block41 kino ila kahama hapo...kwa sasa sijui kahamiaa wapi hayo ndyo style yake ila hakikisha rangi yange inakuwa ya table colour au ukiweka kiganjani rangi unaionaaa...isiwe na cracks wala inclusions size kuanzia grm 2 kwenda juu....mtafute malapa uliza kama yuko mjini kafanya biashara

malapa yupo monte puez ndyo anayamiliki cremu ya ruby.ila cjui km amerudi bongo
 
nenda kwa malapa uliziaa ofisi yake iko wapi....umfate kama mawe yako ni mazuri mtafanya kazi au nenda nyuma ya bestbite kinondoni kuna mthailand mmoja anaitwa prayun kwake kuna wanunuzi wengi tu wanafikia kutoka thailand wananunua madini....kazi kwako

wathailand wengi huwa wanachukua saphire au ruby,aina nyngne ya gemstone huwa hawachukui.nilawahi kuwapelekea rose ganet na saphire wakachukua saphire,rose waligoma kuchukua.ikabidi nipeleke kw wahndi arusha.
 
wathailand wengi huwa wanachukua saphire au ruby,aina nyngne ya gemstone huwa hawachukui.nilawahi kuwapelekea rose ganet na saphire wakachukua saphire,rose waligoma kuchukua.ikabidi nipeleke kw wahndi arusha.

ila chief kama iko nzuri rose zake ah hawato acha kuna mthai mmja anaitwa danai alikuwa anachukua hizo, alafu nmemuliza kuhusu malapa kwa sasa kahamia....kinondoni kule mitaa ya ananasif...anakujaga kama yeye hatokuwepo kutakuwa na yule binti yake anayeitwa paka
 
. GEBA2013 arusha wana masoko mazuri ya madini kuliko dar
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom