Msaada: Nani ananunua madini Dar es Salaam?

Msaada: Nani ananunua madini Dar es Salaam?

sasa chief kuuza zaidi ya 10mln kwa gram au? ninavyosikia wao ndio wanapanga bei au ili uweze kutambua bei ya kuuza unatakiwa ufanyaje??

INATEGEMEA NA GEM.BIASHARA YA GEM UNATAKIWA UWE UNAJUA THAMANI YA GEM ENYEWE.MFANO UNAENDA KUUZA RUBY 5g unapewa calculeta na buyer uandike bei yake,kwakuwa ww n mgeni nahujui utaandika milion kumi,hapo buyer atakuona hujui atakushusha atakuandikia 2milion ww utagoma utaandika 9milion.biashara ya inataka uzoefu na utaalam bila hvyo utaumia tu.ila kwa msaada ni bora kuanza na cheap stone,inalipa na yanapatikana kirahisi
 
Unauza hiyo mizigo iko wapi??
Kuna wazungu wapo upanga wananunua Madini and Kama Una eneo linatoa madini,liko surveyed pia wananunua changamkia fulusa mkuu
 
Unauza hiyo mizigo iko wapi??
Kuna wazungu wapo upanga wananunua Madini and Kama Una eneo linatoa madini,liko surveyed pia wananunua changamkia fulusa mkuu

nina eneo langu inatoa amasisti vp hao majamaa zako wanahitaji pia nina mgodi wa dhahabu nahitaji mdhamini vp wapo tayari.km wapo tayari tuingie mkataba
 
aise acha kutania watu.

Nipo serious,mzigo ninao subiri nitaweka picha ila sitaki dalali na vilevile najipanga sababu ya usalama wangu kutokana na mzigo nilionao,hivyo nahitaji kufahamu ofisi ambapo nitapeleka mzigo wangu
 
huwez kununua madini km nyanya au mahndi,madini yanautaratibu na km ww n mgeni ktk secta itakusumbua sna.km ni gem na ni mgeni ktk fani jichanganye na wachmbaji ili upate somo,km ni dhahabu uwe na scale yako ya kununua,napia jaribu kuangalia sehemu inayotoa kw wingi ndyo utajaza mzgo haraka au jaribu kuwaface matajiri wanaomiliki migodi au crem mara nyng wanatoa mzgo km unaofa kubwa.

nimekusoma ila biashara inalipa??
 
Mkuu Fiati tatizo hiyo biashara imejaa utapeli sana. Bora wale wanaonunulia kule kule site sio hapa town. Utalia kaka
 
Last edited by a moderator:
INATEGEMEA NA GEM.BIASHARA YA GEM UNATAKIWA UWE UNAJUA THAMANI YA GEM ENYEWE.MFANO UNAENDA KUUZA RUBY 5g unapewa calculeta na buyer uandike bei yake,kwakuwa ww n mgeni nahujui utaandika milion kumi,hapo buyer atakuona hujui atakushusha atakuandikia 2milion ww utagoma utaandika 9milion.biashara ya inataka uzoefu na utaalam bila hvyo utaumia tu.ila kwa msaada ni bora kuanza na cheap stone,inalipa na yanapatikana kirahisi

cheap stone kama yapi na kwaiyo kama akikupa calculater nachotakiwa kutaja bei kubwa au ndogo??
 
Nipo serious,mzigo ninao subiri nitaweka picha ila sitaki dalali na vilevile najipanga sababu ya usalama wangu kutokana na mzigo nilionao,hivyo nahitaji kufahamu ofisi ambapo nitapeleka mzigo wangu

dhahabu unaweza kuuza hapo bongo dar.ila ruby km una jiwe kubwa nakushauri kauze kwa wathailand monte puez mozambique wanachukua kwa dola ila km una ujanja huo km huna peleka arusha unawdza kuuza vizuri tu.almasi huo mziki mwngne mkuu.km una caret ngapi?km ni jiwe kubwa usiuzie hapa bongo wanunuzi watakuzingua sna.
 
nimekusoma ila biashara inalipa??

ni gemu mkuu,nijinsi gani ulivyojipanga,km ni mawe ya thaman km ruby saphire tatizo ni upatikanaji,yanapatikana kw shda.ila yanalipa.unaweza kununua jiwe kwa m2 ukauza hata kwa m15 au ukanunua kwa m3 ukauza laki kisa jiwe mbovu naww haukuona hlo.ndyn mana mawe ya thamani yanasumbua sna,aheri cheap stone km red garnet rose g amasisti rod light nk
 
cheap stone kama yapi na kwaiyo kama akikupa calculater nachotakiwa kutaja bei kubwa au ndogo??

utanunua kwa calculeta toka kwa wachmbaji na utauza kwa calculeta mfano jiwe la thamani ya m kumi ww mwandikie 20milion,buyer atashtuka atajua ww ni mjuaji atakuandikia mil5 we goma mwandikie 19,atakachokifanya atakuambia top top ofa mil7 atakuandia jiwe na calculeta atakupa kana kwmb ukigoma hyo ofa hakuna biashara,ww usihofu we chukua jiwe,ukitoka mlangoni atakuita atakupa ofa nyngne.nb uwe unajua thamani yake.
 
dhahabu unaweza kuuza hapo bongo dar.ila ruby km una jiwe kubwa nakushauri kauze kwa wathailand monte puez mozambique wanachukua kwa dola ila km una ujanja huo km huna peleka arusha unawdza kuuza vizuri tu.almasi huo mziki mwngne mkuu.km una caret ngapi?km ni jiwe kubwa usiuzie hapa bongo wanunuzi watakuzingua sna.

Mkuu nashukuru kwa ushauri wako mzuri,awali niliwaza kuuza kwanza ruby faster hapa bongo,halafu nivute muda then nipeleke nje ya nchi kuuza almasi na dhahabu lakini kumbe sivyo,asante kwa ushauri wako nitafanya hivyo,ruby niliyo nayo size yake kama sabuni za Rico wanazotumia wakina mama
 
Mkuu Fiati tatizo hiyo biashara imejaa utapeli sana. Bora wale wanaonunulia kule kule site sio hapa town. Utalia kaka

hata site watu wanapigwa wakati kuna mlio wa ruby inatoka hata wapigaji wanakuja maporini.....wana kuja na synthetic stones wanazitoa russia na america wanazitumbukiza huko winza wathai washapigwa sana nmeona hata mtopwesh hvyo hvyo.....kuna ----- mmoja anatokea mahenge anaitwa maspana mshenzi sana ndy zake....ila sahv ashashtukiwa....kwa hiyo inataka umakini sana
 
Last edited by a moderator:
dhahabu km una kuanzia kilo moja unaweza peleka nje ya nchi ndyo utapata ofa kubwa,chn ya hapo usipeleke.ruby soko lake kubwa THAILAND wapo wabongo wengi wanapeleka huko ndyo mana nilikuwa nakushauri upeleke MONTE PUEZ MOZAMBIQUE wapo wathailand wananunua kwa dola.afu hyo ruby yako mziki mwngne,cjajua shape yake ipo round shape,afu ni nzma yote yani haina ugonjwa wowote?umeshacheki na tochi?utapiga hela mkuu kwnye hyo ruby c utani km nzma lakini.ALMASI KM UNA UJANJA NENDA NAYO S.AFRIKA.
 
hata site watu wanapigwa wakati kuna mlio wa ruby inatoka hata wapigaji wanakuja maporini.....wana kuja na synthetic stones wanazitoa russia na america wanazitumbukiza huko winza wathai washapigwa sana nmeona hata mtopwesh hvyo hvyo.....kuna ----- mmoja anatokea mahenge anaitwa maspana mshenzi sana ndy zake....ila sahv ashashtukiwa....kwa hiyo inataka umakini sana

Jamaaa inabidi atulie sana, dunia ishavaa koti hii
 
hata site watu wanapigwa wakati kuna mlio wa ruby inatoka hata wapigaji wanakuja maporini.....wana kuja na synthetic stones wanazitoa russia na america wanazitumbukiza huko winza wathai washapigwa sana nmeona hata mtopwesh hvyo hvyo.....kuna ----- mmoja anatokea mahenge anaitwa maspana mshenzi sana ndy zake....ila sahv ashashtukiwa....kwa hiyo inataka umakini sana

kuna jamaa anaitwa ndaki aliwapiga wathailand mpwapwa,utapeli kila sehemu
 
dhahabu unaweza kuuza hapo bongo dar.ila ruby km una jiwe kubwa nakushauri kauze kwa wathailand monte puez mozambique wanachukua kwa dola ila km una ujanja huo km huna peleka arusha unawdza kuuza vizuri tu.almasi huo mziki mwngne mkuu.km una caret ngapi?km ni jiwe kubwa usiuzie hapa bongo wanunuzi watakuzingua sna.

almasi mimi sinaaga mzuka nayo....ila kama ukipata good buyer anachukua vizuri, uzaji wake unataka utulivu sana....ila kuna msrilanka mmoja alikuwa anaitwa premas alikuwa ananunua almasi ila sijui kafiaa wapi sahvi....kitambo sijamuona hapa
 
kuna jamaa anaitwa ndaki aliwapiga wathailand mpwapwa,utapeli kila sehemu

ndaki, maspana,..konchooo ila maspanaa ndy mshenzi ila tulimkimbiza mpwapwa aliondokaa usikuusiku alimpiga mthai mmoja
 
Wakuu naomba kujua ni tajiri gani hapa Dar-es-salaam ananunua madini,kama vile Gemstone.Maana naona wamejaa madalali tu.Sasa kama kuna mtu ananunua madini anapatikana Dar maeneo gani?Msaada tafadhari.

Gematone zipi ulizonazo?
 
Back
Top Bottom