Msaada: Nani ananunua madini Dar es Salaam?

Msaada: Nani ananunua madini Dar es Salaam?

tourmaline je??

hiyo safi kwenye market inakwenda kuna mdosi anachukua sana yellow, green tormaline na bado anakusanya mzigo ...ana nunua kuanzia tormaline gem quality hadi tormaline za kg type chief
 
ubora wake vp? kuna mzungu mmoja anaitwa malapa alikuwaga block41 kino ila kahama hapo...kwa sasa sijui kahamiaa wapi hayo ndyo style yake....mtafute malapa uliza kama yuko mjini kafanya biashara

Mzungu anaitwa "Malapa"...its no wonder biashara hii Dar imejaa wapigaji...na wapigwaji...
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mzungu anaitwa "Malapa"...its no wonder biashara hii Dar imejaa wapigaji...na wapigwaji...

huyo si mpigaji ni mnunuzi wa long tym malapa kwa sababu alikuwa anapenda kuvaa kanda mbili wakati wote na ni tajiri ila yuko simple kwa sisi ambao tunamfahamu tuna muelewa......au kwa mtu ambaye yuko kwenye hiyo field atamuelewa vizuri
 
siyo ganet ni garnet. Naamini unamaanisha rhodolite. Kama ni ya sesa au ya mwamba na ni spirit colour au pink gram moja na zaidi ni-pm.

kuna muitaliano zamani alikuwa anakaa arusha emilio centasilia ananunua nimekutana na e accidentally humu bongo pm kwa bznezz
 

Attachments

  • RED.jpg
    RED.jpg
    7.5 KB · Views: 570
  • RED2.jpg
    RED2.jpg
    6 KB · Views: 581
Wakuu nina mizigo mitatu,ruby,diamond na gold nataka kuuza hapa bongo wapi kuna mnunuzi mwenye hela?biashara nitafanya baada ya wk mbili kuanzia leo
 
hiyo safi kwenye market inakwenda kuna mdosi anachukua sana yellow, green tormaline na bado anakusanya mzigo ...ana nunua kuanzia tormaline gem quality hadi tormaline za kg type chief

kaka unaonekana wewe ni mtaalam wa biashara ya madini, je ukitaka kuingia kwenye germs kuanzia na msingi wa tshs ngapi?? coz wiki mbili zilizopita nilikuwa samhunge (loliondo) kununua dhahabu sikupata nikaenda hadi kilindi ovyo pia
 
sijakuelewa mkuu mchongo ndo nini au unamaamanisha magendo?Nielewesha hapo tafadhari.
 
kaka unaonekana wewe ni mtaalam wa biashara ya madini, je ukitaka kuingia kwenye germs kuanzia na msingi wa tshs ngapi?? coz wiki mbili zilizopita nilikuwa samhunge (loliondo) kununua dhahabu sikupata nikaenda hadi kilindi ovyo pia

siri kubwa ya gemstones ni kujua kununua na kuuza, kwenye kununua lazima ujue kuchagua jiwe kuliangalia na kujua uboroa wake ndani na rangi zikoje..hapo lazima ufaulu, kuhusu msingi unaweza ukawa na mln 2 au 3 ukanunua mawe kadhaa ukaenda kuuza ukakuta unauza hela nzuri zaidi ya 10mln.kwa hiyo mtaji uwe na 2mln au 3 siyo mbaya..unatega kwa wachimbaji wanaweza letea jiwe kwako likawa safi
 
Mkuu ukisema hapa utatusaidia wengi hayo mambo ya pm unataka mtu kati?Hapa JFndio suluhu ya matatizo yote tueleze huyo muitaliano anapatikana wapi?
 
wakuu nina mizigo mitatu,ruby,diamond na gold nataka kuuza hapa bongo wapi kuna mnunuzi mwenye hela?biashara nitafanya baada ya wk mbili kuanzia leo

aise acha kutania watu.
 
aise acha kutania watu.

hehehehe.....ruby hatari...@geba kuna jamaa mmoja tulikuwaga wote mpwapwa winza aliuzaga ruby alipata hela akawa kama kichaaaa...usicheze na ruby pesa yake ndefu
 
mzungu anaitwa "malapa"...its no wonder biashara hii dar imejaa wapigaji...na wapigwaji...

aise huyu jamaa wa cku nyng sna,ni mfanyabiashara wa cku nyng na yuko fair.ameitwa malapa sbb ya kupenda kuvaa malapa
 
aise huyu jamaa wa cku nyng sna

muelimishe . s.crony kuhusu malapa mimi namjua malapa wakati huo tunduru inatamba mimi nilipelekwa na mjomba wangu huko kusaidia camp wakati huo mimI nna miaka 15, malapa yupo mpaka leo hiI yupo anakomaa na game..jamaaa mbishi wale ndiyo wanunuzi nguli wa madini africa nzima anazunguka
 
Last edited by a moderator:
kaka unaonekana wewe ni mtaalam wa biashara ya madini, je ukitaka kuingia kwenye germs kuanzia na msingi wa tshs ngapi?? Coz wiki mbili zilizopita nilikuwa samhunge (loliondo) kununua dhahabu sikupata nikaenda hadi kilindi ovyo pia

huwez kununua madini km nyanya au mahndi,madini yanautaratibu na km ww n mgeni ktk secta itakusumbua sna.km ni gem na ni mgeni ktk fani jichanganye na wachmbaji ili upate somo,km ni dhahabu uwe na scale yako ya kununua,napia jaribu kuangalia sehemu inayotoa kw wingi ndyo utajaza mzgo haraka au jaribu kuwaface matajiri wanaomiliki migodi au crem mara nyng wanatoa mzgo km unaofa kubwa.
 
siri kubwa ya gemstones ni kujua kununua na kuuza, kwenye kununua lazima ujue kuchagua jiwe kuliangalia na kujua uboroa wake ndani na rangi zikoje..hapo lazima ufaulu, kuhusu msingi unaweza ukawa na mln 2 au 3 ukanunua mawe kadhaa ukaenda kuuza ukakuta unauza hela nzuri zaidi ya 10mln.kwa hiyo mtaji uwe na 2mln au 3 siyo mbaya..unatega kwa wachimbaji wanaweza letea jiwe kwako likawa safi

sasa chief kuuza zaidi ya 10mln kwa gram au? ninavyosikia wao ndio wanapanga bei au ili uweze kutambua bei ya kuuza unatakiwa ufanyaje??
 
Back
Top Bottom