Msaada namna ya kuepuka usingizi wakati wa kusoma

Msaada namna ya kuepuka usingizi wakati wa kusoma

Wazee nimeona niseme jambo hili huenda nikapata utatuzi kutokana na ushauri wenu.
Kwa sada ni mwanafunzi wa chuo fulani hivi.

Mara kadhaa nilipokua high school nilikua nasumbuliwa na tatizo la kulala pindi mwalimu akitoa lecture ajabu ya mambo mwl alitoka usingizi unaenda zake.
Alhamdulilah haikunidhuru mpaka kufikia kushindwa kusoma kabsa.

Ila huku chuo mambo ni mengi sana licha ya ile hali ya kulala darasani kuendelea sasa hivi imekua hata nikishika daftari kuanza kupiga msuli usinginizi nao huo.

Najaribu kuanza kulala ili nikiamka niwe na nguvu kubwa ya kusoma lakini wapi! Ama kweli usingizi kiboko.
Nipe ushauri ewe msomi
Jaribu kutengeneza Partners wa Discussion, Fanya mazoezi ya Mwili, jiwekee lengo la kujua vitu kadhaa (topic/unit japo 1) kwa siku 1 kiundani.
 
Kwanza kabisa fanya mazoezi....
Pili, uwe na muda wa kupumzika
Tatu, usile chakula chenye wanga sana wala kingi kabla ya kuanza kusongoka.kula hata saa moja kabla ya kuanza kusoma
Nne, kunywa maji mengi kuucool mwili usiwe na joto Kali

Nb..Ukiona haiapply basi umelogwa na aliyekuroga kafa aiseeeee .....utani don't take it so serious
 
we kunywa kahawa tuu,mi mwenzio ilikua zaidi yako nilijinywea kahawa we? mbona nlishangaa nlikua macho nikuelewa na kukariri mpaka nyuma ya vitabu
 
Wazee nimeona niseme jambo hili huenda nikapata utatuzi kutokana na ushauri wenu.
Kwa sada ni mwanafunzi wa chuo fulani hivi.

Mara kadhaa nilipokua high school nilikua nasumbuliwa na tatizo la kulala pindi mwalimu akitoa lecture ajabu ya mambo mwl alitoka usingizi unaenda zake.
Alhamdulilah haikunidhuru mpaka kufikia kushindwa kusoma kabsa.

Ila huku chuo mambo ni mengi sana licha ya ile hali ya kulala darasani kuendelea sasa hivi imekua hata nikishika daftari kuanza kupiga msuli usinginizi nao huo.

Najaribu kuanza kulala ili nikiamka niwe na nguvu kubwa ya kusoma lakini wapi! Ama kweli usingizi kiboko.
Nipe ushauri ewe msomi
Gonga Azam enegy au Mo energy.. Ucingizi utakuwa ni historia.
 
we kunywa kahawa tuu,mi mwenzio ilikua zaidi yako nilijinywea kahawa we? mbona nlishangaa nlikua macho nikuelewa na kukariri mpaka nyuma ya vitabu
Kahawa nakumbuka biliwahi kuiapply kipind nipo cha nne.
Actly ilikua bonge la dili yani coz msuli ulikua unaenda fresh na mcho yakiwa yamekodoka.
Advnc nilisoma bodying Mpwapwa sec Dodoma sikua na acces ya kahawa kutokana na eneo lenyewe. Tofauti na mitaa ya Dar es salaam unajua wauza kahawa walipo na hata ukisimama barabarani basi dakik si nying atapita na utapiga vikombe vyako viwil vitatu.
Leo hii chuo ndo sipo bongo kabisa yani.
Nipo Turkey option ya kahawa inashindikana.
Jamaa wanazo kahawa lakin hazifajya kaz naniyotarajia
 
Kahawa nakumbuka biliwahi kuiapply kipind nipo cha nne.
Actly ilikua bonge la dili yani coz msuli ulikua unaenda fresh na mcho yakiwa yamekodoka.
Advnc nilisoma bodying Mpwapwa sec Dodoma sikua na acces ya kahawa kutokana na eneo lenyewe. Tofauti na mitaa ya Dar es salaam unajua wauza kahawa walipo na hata ukisimama barabarani basi dakik si nying atapita na utapiga vikombe vyako viwil vitatu.
Leo hii chuo ndo sipo bongo kabisa yani.
Nipo Turkey option ya kahawa inashindikana.
Jamaa wanazo kahawa lakin hazifajya kaz naniyotarajia
tahadhari ukinywa kahawa usingizi hujikusanya,tenga muda maalum wa kulala
 
Back
Top Bottom