Nina week nimebakiza niende kujitambulisha ukweni kwenye familia ambayo kwa jinsi binti alivyonieleza baba na mama mkwe ni wakorofi Sana.
Ameniambia pia nijiandae kujibu maswali kwani unaweza kuulizwa maswali ya maudhi yakakutoa kwenye reli au ya kawaida kwani familia yake anailewa jinsi ilivyo na mdomo mdomo soo naombeni ushauri jinsi ya kudeal na hali hii na nijiandaaje siku hiyo?
Ameniambia pia nijiandae kujibu maswali kwani unaweza kuulizwa maswali ya maudhi yakakutoa kwenye reli au ya kawaida kwani familia yake anailewa jinsi ilivyo na mdomo mdomo soo naombeni ushauri jinsi ya kudeal na hali hii na nijiandaaje siku hiyo?