Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,479
Ukitaka kuishi maisha mafupi duniani,au ndoa chungu oa familia za wakoloni.Mtoto wa kike hufuata tabia za mama yake na mtoto wa kiume hufuata tabia za baba yake,ikitokea mkapishana kauli na mwenza wako wanatakiwa kuwaweka chini wazazi sasa kama wazazi vibati vimelegea jua mtihani huo, hapo chukua hatua mapeeeeeema
Wakorofi bila ngumi uendi,ngumi kwa sasa sio maisha