KAFA.cOm
JF-Expert Member
- Jun 22, 2013
- 1,301
- 738
habari zenu wadau
mimi ni kijana mdogo tu nategemea kwenda chuo kiku mwezi ujayo..nimeplan kununua laptop kutokana na kukosa uzoefu nimekuja hapa ili nipate ushauri wenu....ningependa sifa ya laptop hiyo ni
4gb ram,na 512gb internal storage
karibuni
mimi ni kijana mdogo tu nategemea kwenda chuo kiku mwezi ujayo..nimeplan kununua laptop kutokana na kukosa uzoefu nimekuja hapa ili nipate ushauri wenu....ningependa sifa ya laptop hiyo ni
4gb ram,na 512gb internal storage
karibuni