H Hammy H New Member May 14, 2023 4 2 Nov 17, 2023 #1 Habari wana JF Members, Nna bajet ya laki tatu na Nusu, nafikiria kutafuta simu ya Redmi 12 yenye Gb 128 storage. Gb 8 RAM au naweza kupata Samsung kali yenye sifa hzo yaani ( gb 128 storage, 8 Gb Ram na Camera nzurii) kwa bei hyo? Naomba ushauri Wakuu
Habari wana JF Members, Nna bajet ya laki tatu na Nusu, nafikiria kutafuta simu ya Redmi 12 yenye Gb 128 storage. Gb 8 RAM au naweza kupata Samsung kali yenye sifa hzo yaani ( gb 128 storage, 8 Gb Ram na Camera nzurii) kwa bei hyo? Naomba ushauri Wakuu
kimbendengu JF-Expert Member Jun 7, 2013 6,098 10,431 Nov 17, 2023 #2 Hakuna redmi inayouzwa Kwa bei hiyo hata kama haitoi sautiiiiii ,sijui umeelewa
H Hammy H New Member May 14, 2023 4 2 Nov 17, 2023 Thread starter #3 Sawa, na kwenye upande wa Samsung je? kimbendengu said: Hakuna redmi inayouzwa Kwa bei hiyo hata kama haitoi sautiiiiii ,sijui umeelewa Click to expand...
Sawa, na kwenye upande wa Samsung je? kimbendengu said: Hakuna redmi inayouzwa Kwa bei hiyo hata kama haitoi sautiiiiii ,sijui umeelewa Click to expand...