ni ajabu kuwa mtoto mdogo ndo anayekuongoza hapo home. mimi watoto wangu nawapenda sana, nikirudi home wananirukia, lakini nikisema kitu fulani sitaki, hakuna anayefanya. kwasababu huwa nawarudi pia kama wakikosea. wewe huho mtoto wako wa miaka tisa inaelekea ni yai, unaogopa kulidondosha, sasa unatengeneza bom. unatakiwa kumakamata, mtandike fimbo za kutosha, mwambie hakuna kuangalia luninga kwa mida uliyokataza. akirudia tena, njoo niambie. msiwalee watoto wenu kama watoto wa ulaya ambao wanawajibu hata wazazi wao, ambao mzazi umelala kitandani unashitukia mtoto tayari ameshaingia chumbani kwenu wewe na mkeo bila hata hodi anaomba kalamu, waleeni watoto wenu kwa adabu, ili wakija kuwa watu wazima wawashukuru, ukiwalea vibaya watakuja kukulaumu wakijakupata akili na watakutelekeza uzee wako utaula kwa shida.
mtoto kama kichwa ni kichwa tu hata kama hatakwenda shule wiki akifika anafumua paper - hongera kaitaba we mwache acheki tu ndo utandawazi huu tutaficha ficha hadi lini wakati watoto wanaazimana mi DVD mashuleni - ukimzuia TV anaweka DVD kwenye computer anacheki live....picha tena kwa kificho.Afadhali wa kwako ni catoon tu, lakini wa kwangu yuko form I na anafanya vizuri tangu primary, lakini kila wakati yuko na tamthilia hasa zile za capital, tufanyeje?
Afadhali wa kwako ni catoon tu, lakini wa kwangu yuko form I na anafanya vizuri tangu primary, lakini kila wakati yuko na tamthilia hasa zile za capital, tufanyeje?
ni ajabu kuwa mtoto mdogo ndo anayekuongoza hapo home. mimi watoto wangu nawapenda sana, nikirudi home wananirukia, lakini nikisema kitu fulani sitaki, hakuna anayefanya. kwasababu huwa nawarudi pia kama wakikosea. wewe huho mtoto wako wa miaka tisa inaelekea ni yai, unaogopa kulidondosha, sasa unatengeneza bom. unatakiwa kumakamata, mtandike fimbo za kutosha, mwambie hakuna kuangalia luninga kwa mida uliyokataza. akirudia tena, njoo niambie. msiwalee watoto wenu kama watoto wa ulaya ambao wanawajibu hata wazazi wao, ambao mzazi umelala kitandani unashitukia mtoto tayari ameshaingia chumbani kwenu wewe na mkeo bila hata hodi anaomba kalamu, waleeni watoto wenu kwa adabu, ili wakija kuwa watu wazima wawashukuru, ukiwalea vibaya watakuja kukulaumu wakijakupata akili na watakutelekeza uzee wako utaula kwa shida.
Mwana wa Mungu nani kakwambia wa Ulaya hawachapi? Mie natandika kimtindo nahakikishia jamaa wa social hawasikii ila kibano huwa kinatokea tu. Tena mie tatizo ilikuwa TV na laptop sasa hv ni weekend tu. Hakuna ujinga. Chapa viwili vya fasta mnaendelea na maisha.ni ajabu kuwa mtoto mdogo ndo anayekuongoza hapo home. mimi watoto wangu nawapenda sana, nikirudi home wananirukia, lakini nikisema kitu fulani sitaki, hakuna anayefanya. kwasababu huwa nawarudi pia kama wakikosea. wewe huho mtoto wako wa miaka tisa inaelekea ni yai, unaogopa kulidondosha, sasa unatengeneza bom. unatakiwa kumakamata, mtandike fimbo za kutosha, mwambie hakuna kuangalia luninga kwa mida uliyokataza. akirudia tena, njoo niambie. msiwalee watoto wenu kama watoto wa ulaya ambao wanawajibu hata wazazi wao, ambao mzazi umelala kitandani unashitukia mtoto tayari ameshaingia chumbani kwenu wewe na mkeo bila hata hodi anaomba kalamu, waleeni watoto wenu kwa adabu, ili wakija kuwa watu wazima wawashukuru, ukiwalea vibaya watakuja kukulaumu wakijakupata akili na watakutelekeza uzee wako utaula kwa shida.
Mbona mimi nimekushauri exactly kama FL1, (tena nilitangulia)wala hujanigongea senksi.,..Tutafika kweli wakunyumba?
Hili nalo Neno Liz Senior!!Sajenti, hili ni tatizo kwa familia nyingi japo wapo wengine hawalioni kama ni tatizo. Watoto wengi sana wapo addicted to Catoons, na ni lazima kama mzazi umpangie ratiba kama wengine walivyoshauri, ila kama addiction nyingine ni vigumu sana kwao kufuata ile ratiba hasa kama haupo. Kina dada wanakoma na watoto wetu hawa maana mwishoe mtoto anamwambia kwani TV yako? Inafika mahali wanawaacha isije kuwa taabu! Kuna rafiki yangu alificha remote watoto wakagundua njia zao nyingine na mbaya zaidi wakam-PG yeye (parental guide) sasa yeye ndie akawa hawezi kuangalia vile anataka na akifika wanajikausha kama hawajui nini kimetokea.
Usione familia nyingine DSTV ipo connected chumbani kwa wazazi tu, japo hili si suluhisho maana hata hizo film za ndugu zetu nazo zinawachukulia muda mwingi sana. Ni tatizo ambalo ni vyema kuongea na watoto na kukubaliana. Keep talking
Nina mtoto wa kike wa miaka 9 na sasa anasoma darasa la 4. Kwa ujumla katika masomo yake amekuwa akijitahidi sana hata mimi anani-impress. Tangu yuko darasa la 1 habanduki katika wale wanafunzi watano wa kwanza. Tatizo lillilojitokeza ni tangu mwaka huu uanze. Kwa mapenzi tu kama mzazi niliamua kuwafungia Dstv pale nyumbani angalau nao wapate kuburudika. Lakini sasa naelekea kujilaumu kwani binti amekuwa anatumia muda wake mwingi kuangalia TV na hasa ile channel ya Catoon (Catoon Network). Nilipoona anakuwa busy sana na Tv nilimueleza kwa upole tu apunguze hiyo kitu na akakubali, lakini hata binti wa kazi amenieleza kuwa anaporudi shule tu yeye yuko kwenye Tv. Nikaamua kuwa naficha remote ninapotoka nyumbani huenda itamfanya apunguze hiyo kitu. Kiasi nafikiria hata kuachana na matumizi ya Tv kabisa maana hapo nyuma nilikuwa namnunulia DVD za catoon kama Tom & Jerry na nyingine sasa amekuwa mpaka anaenda kuazima kwa rafiki zake.
Nakosa amani kabisa.