Msaada: Mpangaji mwenzangu ni mchawi

NA WW MCHAWI kwani nijuavyo MIMI kama si MCHAWI huwezi Kumuona Mchawi.HONGERA Kwa kumuona MCHAWI.
 
Saa 8 usiku utoke nje ghalfa ulikuwa unakwenda wapi... sema mmegongana... wote wale wale..
 
Wakuu naishi kota za kupanga hapa Changombe, upande ninaokaa kuna jirani yangu chumba cha jirani ni mama mtu mzima hivi ni mshika dini sana sana.

Cha ajabu juzi nimeamka saa 8 usiku na kutoka nje ghafla nikamkuta mama huyo akiwa juu ya bati uchi wa mnyama huku kashika ngozi ya fisi na kibuyu alikua kajipaka masizi na kavaa hirizi iliyokua inapumua.

Aliponiona akageuka paka na kupotea.Nataka kuhama hapa.
Huyu ndugu yake na mtanesco
 
Mmh ulipata wapi ujasiri wa kuchunguza alivyovishika .. 🤔 chai yenye kichuri hii
 
Wakuu naishi kota za kupanga hapa Changombe, upande ninaokaa kuna jirani yangu chumba cha jirani ni mama mtu mzima hivi ni mshika dini sana sana.

Cha ajabu juzi nimeamka saa 8 usiku na kutoka nje ghafla nikamkuta mama huyo akiwa juu ya bati uchi wa mnyama huku kashika ngozi ya fisi na kibuyu alikua kajipaka masizi na kavaa hirizi iliyokua inapumua.

Aliponiona akageuka paka na kupotea.Nataka kuhama hapa.

99.9% ya wachawi wanajificha kwenye Dini!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom