Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,350
Duh unakijua kichuri?Unatokea wapi?Kwa uzuri tu i'm asking.Mmh ulipata wapi ujasiri wa kuchunguza alivyovishika .. 🤔 chai yenye kichuri hii
Wakuu naishi kota za kupanga hapa Changombe, upande ninaokaa kuna jirani yangu chumba cha jirani ni mama mtu mzima hivi ni mshika dini sana sana.
Cha ajabu juzi nimeamka saa 8 usiku na kutoka nje ghafla nikamkuta mama huyo akiwa juu ya bati uchi wa mnyama huku kashika ngozi ya fisi na kibuyu alikua kajipaka masizi na kavaa hirizi iliyokua inapumua.
Aliponiona akageuka paka na kupotea.Nataka kuhama hapa.
Wakuu naishi kota za kupanga hapa Changombe, upande ninaokaa kuna jirani yangu chumba cha jirani ni mama mtu mzima hivi ni mshika dini sana sana.
Cha ajabu juzi nimeamka saa 8 usiku na kutoka nje ghafla nikamkuta mama huyo akiwa juu ya bati uchi wa mnyama huku kashika ngozi ya fisi na kibuyu alikua kajipaka masizi na kavaa hirizi iliyokua inapumua.
Aliponiona akageuka paka na kupotea.Nataka kuhama hapa.
Mwenye macho ya kumuona mchawi ni mwenzie sasa kama wewe umemuona bac ujue una elements hzo kikubwa usimuhame shirikianeni msiroge watu basiWakuu naishi kota za kupanga hapa Changombe, upande ninaokaa kuna jirani yangu chumba cha jirani ni mama mtu mzima hivi ni mshika dini sana sana.
Cha ajabu juzi nimeamka saa 8 usiku na kutoka nje ghafla nikamkuta mama huyo akiwa juu ya bati uchi wa mnyama huku kashika ngozi ya fisi na kibuyu alikua kajipaka masizi na kavaa hirizi iliyokua inapumua.
Aliponiona akageuka paka na kupotea.Nataka kuhama hapa.
ulijuaje km ni ngozi ya fisi usiku huo mkuu??? Je km ni ya buziWakuu naishi kota za kupanga hapa Changombe, upande ninaokaa kuna jirani yangu chumba cha jirani ni mama mtu mzima hivi ni mshika dini sana sana.
Cha ajabu juzi nimeamka saa 8 usiku na kutoka nje ghafla nikamkuta mama huyo akiwa juu ya bati uchi wa mnyama huku kashika ngozi ya fisi na kibuyu alikua kajipaka masizi na kavaa hirizi iliyokua inapumua.
Aliponiona akageuka paka na kupotea.Nataka kuhama hapa.