Msaada: Mpangaji mwenzangu ni mchawi

Mmh ulipata wapi ujasiri wa kuchunguza alivyovishika .. 🤔 chai yenye kichuri hii
Duh unakijua kichuri?Unatokea wapi?Kwa uzuri tu i'm asking.
Hii kitu inatumika sana villa kwetu😃
 
Chai hiyooo. Huo usiku ulionaje hiyo hirizi inapumua na wakat unasema alikuwa juu ya bati?
Wakuu naishi kota za kupanga hapa Changombe, upande ninaokaa kuna jirani yangu chumba cha jirani ni mama mtu mzima hivi ni mshika dini sana sana.

Cha ajabu juzi nimeamka saa 8 usiku na kutoka nje ghafla nikamkuta mama huyo akiwa juu ya bati uchi wa mnyama huku kashika ngozi ya fisi na kibuyu alikua kajipaka masizi na kavaa hirizi iliyokua inapumua.

Aliponiona akageuka paka na kupotea.Nataka kuhama hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulijuwaje kama kashika ngozi ya fisi mkononi
Na kavaa hirizi inayopumua?

Tuanzie hapo mpwa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wakuu naishi kota za kupanga hapa Changombe, upande ninaokaa kuna jirani yangu chumba cha jirani ni mama mtu mzima hivi ni mshika dini sana sana.

Cha ajabu juzi nimeamka saa 8 usiku na kutoka nje ghafla nikamkuta mama huyo akiwa juu ya bati uchi wa mnyama huku kashika ngozi ya fisi na kibuyu alikua kajipaka masizi na kavaa hirizi iliyokua inapumua.

Aliponiona akageuka paka na kupotea.Nataka kuhama hapa.

Hii page yenyewe ya umembea na jokes Nani wa kukuamini Pierre liquid 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wakuu naishi kota za kupanga hapa Changombe, upande ninaokaa kuna jirani yangu chumba cha jirani ni mama mtu mzima hivi ni mshika dini sana sana.

Cha ajabu juzi nimeamka saa 8 usiku na kutoka nje ghafla nikamkuta mama huyo akiwa juu ya bati uchi wa mnyama huku kashika ngozi ya fisi na kibuyu alikua kajipaka masizi na kavaa hirizi iliyokua inapumua.

Aliponiona akageuka paka na kupotea.Nataka kuhama hapa.
Mwenye macho ya kumuona mchawi ni mwenzie sasa kama wewe umemuona bac ujue una elements hzo kikubwa usimuhame shirikianeni msiroge watu basi
 
Wakuu naishi kota za kupanga hapa Changombe, upande ninaokaa kuna jirani yangu chumba cha jirani ni mama mtu mzima hivi ni mshika dini sana sana.

Cha ajabu juzi nimeamka saa 8 usiku na kutoka nje ghafla nikamkuta mama huyo akiwa juu ya bati uchi wa mnyama huku kashika ngozi ya fisi na kibuyu alikua kajipaka masizi na kavaa hirizi iliyokua inapumua.

Aliponiona akageuka paka na kupotea.Nataka kuhama hapa.
ulijuaje km ni ngozi ya fisi usiku huo mkuu??? Je km ni ya buzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom