snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,322
nani kasema lazima mwanaume ndo anaanza kufa?Pole sana aisee huwa nawasikitikia wanawake wenzangu wasiotaka kujishughulisha.Niunganishe nae nimpe darasa.Mie namshukuru Mungu alinipa hekima ya kujitambua na kufanya kazi zangu kwa bidii.Namshukuru Mungu kwa hilo Hata sasa Mme wangu katangulia mbele ya haki lakini Familia haijateteleka.Maana nilishazoea kujitafutia pesa yangu wenyewe.
Yaani akina mama jamani jamani fanyeni kazi siku mwenzio akitangulia mbele ya haki utalia adi uchanganyikiwe maana umezoea vya buree.
what if nikianza mimi yeye awe ameshazoea kuhudumia familia mwenyewe!
well nimeweka utani lakini namanisha hebu tuondoe hii dhana ya mume kufa kwanza!
and kwanini tunaamini a godd wife ni yule anayeweza kushiriki kutafuta hela?
wengine wameumbwa hvyo jamani!
yapo mengine she must be very good in!na mume hajacomplain jamani!cha!