Do your role as a MAN,Mungu alipomuumba mwanadamu,mwanadamu alipoasi aliyeulizwa ni adam(mwanaume),.timiza wajibu wako kama mwanaume.fanya kazi kwa bidii.,ila mchunguze ni wapi pesa anapeleka asije kuwa ana serengeti,ukibaini ni mzizi,lamba talaka mara moja.lazima ujue mapato na matumizi yake,kama unampa hela alafu uoni anachofanyia utakuwa unachezewa mchezo mchafu. Mchunguze kama inakuwa ngumu mnunulie smart phone lyk galaxy yenye GPS alafu nenda kwa wataalamu wa IT,kuna software maalamu wata install kwako utaweza kujua nyendo zake zote.