Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,875
- 37,659
Seriously..yalinikuta haya (uliyohadithia yamefanana sana). Unfortunately kwangu yaliongezeka na mengine nikashindwa vumilia nikabwaga manyanga. Surprisingly, now ameajiriwa anafanya kazi na anachakarika na biashara kuongeza kipato. Lakini maji ndio yameshamwagika tena. pole sana..I know how frustrating can this be.
Duhq kumbe kuachwa somtym ni dawa!?
Though cfurahii kuachana!!
Ss km anchakarika,c umrudie Riwa jamani,atakuwa kajifunza