Msaada: Mke wangu anataka tuwe tunaishi na mtoto wa dada yake kila wikiendi na likizo

Mkuu Hana tabia zakishenzi Ila tatizo nikuwa mtoto kashaadapti michezo yakike maana hata umletee vitu vya mchezo wakiume havitumii mda wote unkuta anacheza michez yakike namwezio Sasa kwangu naona nitatizo Hilo maaan mama mtu Hana habar kwake nisawa
Bahati mbaya katika uzi wako hujainisha jinsia za watoto, na kero yako kubwa ilikua kuhusu baba wa mtoto kujichana na life huku mtoto akiwa kwako.
 
Mkuu lengo siko uko mtoto kashaanza kubeba tabia zakike sababu ya mda mwingi yupo nawakike namama harekebishi kwake nisawa

Mmmhhh hebu twende taratibu...
1. Mtoto wako/ wenu na mkeo ni wa kiume

2. Mtoto wa shemeji yako ni wa kike

3. Watoto hao wanakutana siku 3 kwa wiki/ kati ya siku 7

4. Muda mwingi unaombadilisha mtoto wa kiume kuiga michezo ya kike ni siku 3/7 badala ya 4/7 ambazo anakuwa nanyi baba na mama yake...!!!!?

5. Kati ya hizo siku 4 mnazokuwa nae nyie wawili, pamoja na hizo 3 anazokuwa na mtoto wa shemeji yako, ulishajaribu kukaa nao na kuwaonesha michezo ya jumla ambayo haishawishi kufata jinsia isiyo yake?

6. Ingekuwa umepata mapacha mmoja wa kike na mwingine wa kiume au una watoto 2 waliopishana mwaka ungewatenganisha michezo yao wasiigane kulingana na jinsia zao ...!!?

Mimi ni wa kike pekee kati ya watoto 7, nimecheza michezo yote ya kiume unayoijua ya utotoni kiasi mama alinichapa hadi akaacha. Alichofanya ni kunibadilishia mavazi yakawa ni vikaptura na suriali ili nisikae uchi. Na aliniambia kila kovu moja mwilini mwangu litalotokana na michezo ya kiume basi nijiandae kufinywa.

Pamoja na hayo tabia za kike nilikuwa nazo, nilijua kazi zote za kike ilipofika wakati. Mama alikuwa nami kila hatua ila kwenye michezo aliniacha na kaka zangu, cha muhimu hakuruhusu tutoke nje ya geti.

Kila la kheri kwenye malezi.
 
Mmmhhh hebu twende taratibu...
1. Mtoto wako/ wenu na mkeo ni wakiume

2. Mtoto wa shemeji yako ni wa kike

3. Watoto hao wanakutana siku 3 kwa wiki / kati ya siku 7

4. Muda mwingi unaombadilisha mtoto wa kiume kuiga michezo ya kike ni siku 3/7 badala ya 4/7 ambazo anakuwa nanyi baba na mama yake...!!!!?

5. Kati ya hizo siku 4 mnazokuwa nae nyie wawili, pamoja na hizo 3 anazokuwa na mtoto wa shemeji yako, ulishajaribu kukaa nao na kuwaonesha michezo ya jumla ambayo haishawishi kufata jinsia isiyo yake?

6. Ingekuwa umepata mapacha mmoja wa kike na mwingine wa kiume au una watoto 2 waliopishana mwaka ungewatenganisha michezo yao wasiigane kulingana na jinsia zao ...!!?

Mimi ni wa kike pekee kati ya watoto 7, nimecheza michezo yote ya kiume unayoijua ya utotoni kiasi mama alinichapa hadi akaacha. Alichofanya ni kunibadilishia mavazi yakawa ni vikaptura na suriali ili nisikae uchi. Na aliniambia kila kovu moja mwilini mwangu litalotokana na michezo ya kiume basi nijiandae kufinywa.

Pamoja na hayo tabia za kike nilikiwa nazo, nilijua kazi zote za kike ilipofika wakati. Mama alikuwa nami kila hatua ila kwenye michezo aliniacha na kaka zangu chamuhimu hakuruhusu tutoke nje ya geti.

Kila la kheri kwenye malezi.
Umeeleza vizuri sana mkuu. Haka kajamaa ni kachoyo.
 
Habari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalishaalikuja akaoa mwanamke mwingne

Sasa basi mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa umri sawa na mtoto wa Dada yake..mke wangu amekuwa akimchukua mtoto wa Dada yake kila ijumaa na kumrudisha Jumapili kwa Dada yake

Sasa akiwa anataka kumrudisha mtoto hataki kurudi kwa mama yake anataka kuendelea kuishi nasi wakati huo baba wa mtoto hana muda na mtoto wake kwa mahitaji ya mtoto yaani amuhudumii

Mama wa mtoto hataki hata siku moja kumpelekea mtoto kwa baba yake sababu ana mke mwingine atamtesa Sasa amekuwa akimsukumia kwangu kwa kigezo Cha kuja kucheza na mwenzake

Je, ni sawa baba wa mtoto yupo na mama wa mtoto kukataa mtoto kwenda kwa baba kutembea kwa kisingizio Cha mama wa kambo atamtesa hivyo kuona ni sahihi aende kwa mama yake mdogo hali yakuwa baba yupo na anajichana na maisha?
Unawaza mtoto atamaliza ugali wenu,we kiboko aisee.
 
Bro sitaki unijibu ila nakuuliza hivi, huyo mtot ana umr gan? Kama ana miaka 13+ bc una uhalali wa kuhoji ila kama ni below hapo. JITAFAKARI WEWE NI MTU WA NAMNA GANI, huenda upo tofauti na binadamu wema, huenda ww n kauzu, huenda kusaidia wengne huwezi. Psychology niliyonayo nimegundua vitu vingi sana kwako hata kama ndy huyo mtot ana 15+yrs. TAMBUA BINADAMU HATUPO SAWA, ILA MKE WAKO ANAJUA NINI MANA YA KAULI YA "hakuna aijuaye kesho" mpende sana huyo mkeo.



Sign off
 
Back
Top Bottom