sonnita
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 1,787
- 1,910
Exactly.. yani kaikimbia mada/point yake kahamia kwenye tabia za kike sijui vitu gani.Bahati mbaya katika uzi wako hujainisha jinsia za watoto, na kero yako kubwa ilikua kuhusu baba wa mtoto kujichana na life huku mtoto akiwa kwako.
Anazunguka mbuyu tuu, tuseme hamtaki tuu uyo mtoto aende kwake.
Sent from my Redmi 5 using JamiiForums mobile app