Msaada: Mke wangu anajisaidia choo chenye harufu kali

Msaada: Mke wangu anajisaidia choo chenye harufu kali

Tutajuaje maana akimaliza haja si anatakiwa asafishe choo vizuri na sabin na kuflash
Au choo chão kibovu
Labda hakuna mzunguko wa hewa hapo chooni. Je umeweka extractor fan na ile pipe ya kutolea hewa chafu kwa nje? Inasaidia kuingiza hewa safi kwa haraka zaidi.
 
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza wazi kabisa. Nilienda kuoa mke wangu kijijini kwetu Kafyofyo Kyela kisha tukaja hapa mjini Dar ninapoishi.
...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole ila nimecheka wallah
 
Labda hakuna mzunguko wa hewa hapo chooni. Je umeweka extractor fan na ile pipe ya kutolea hewa chafu kwa nje? Inasaidia kuingiza hewa safi kwa haraka zaidi.

Nami nikasema labda choo kibovu hakitoi hewa chafu nje
 
I heard this story Sina hakika kama ilikuwa kweli au la na ni muda kdg, Kulikuwa na mtu akienda chooni kujisaidia ni kunanuka gari ya taka inasuburi paleee 👉 at the end alikuja kugundulika na Kansa ya utumbo
Mtoa mada sijui mnuko wako ni WA level zipi onana kwanza na nutritionist
Mnuko wake ni Pro Max
 
Si ulimpenda kwa sababu ana tako kubwa.......
Ungeoa flat screen Hilo tatizo usingeliona maana flat screen mavi Yao sio mengi.
 
Kama hajisikia vibaya basi:-

MAJI ,MAJI ,MAJI.

MATUNDA,MATUNDA,MATUNDA......(Matango,Matikiti,Maembe etc)
 
Aanze kuwa vegetarian
Si unaona mbuzi na ngombe ni mbolea safi tu unashika na mkono....
 
Back
Top Bottom