Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,033
- 61,936
Dawa yake ni hii:-
- Akiamka asubuhi, mpatie supu ya samaki sato mzima yenye mchemsho wa ndizi.
- Saa nne asubuhi mpatie matunda mchanganyiko sahani moja iliyojaa
- Saa sita mchana mpatie supu ya nusu kuku wa kienyeji, kwa pembeni kukiwa na mboga za majani
- Saa saba mpatie glasi mbili za juisi freshi ya matunda mchanganyiko isiyokuwa na embe.
- Saa tisa mchana, mpatie kilo moja ya kitimoto rosti na bia nne
- Akimaliza kula akapumzike angalau masaa sita
- Usiku ale matunda mchanganyiko na mboga za majani
- Ale hivi kwa muda wa miezi 2, tatizo litakuwa limeisha