berylyn
JF-Expert Member
- Dec 26, 2021
- 919
- 2,754
Awe anapuu kila siku asubuhi, watu wengine wana ka tabia ka kujisaidia mpaka siku tano Hadi Saba zipite, mwambie apuu kila siku, hata Kama hajiskii, ajilazimishe ataona mabadiliko.
Kingine , mkuu Kwan mnashinda wote nyumbani mda wote masaa 24? Huwa anasubiria wewe urudi ndo anapuu au.si apuu ukiwa haupo?
Kingine pia mlango wa chooni kwako mtakuwa mmeacha gap kubwa sana, kwa chini na juu. Mlijenga vibaya tangu mwanzoni. Usimlaumu bure.
Kingine , mkuu Kwan mnashinda wote nyumbani mda wote masaa 24? Huwa anasubiria wewe urudi ndo anapuu au.si apuu ukiwa haupo?
Kingine pia mlango wa chooni kwako mtakuwa mmeacha gap kubwa sana, kwa chini na juu. Mlijenga vibaya tangu mwanzoni. Usimlaumu bure.