Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,912
- 11,323
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza wazi kabisa. Nilienda kuoa mke wangu kijijini kwetu Kafyofyo Kyela kisha tukaja hapa mjini Dar ninapoishi.
Awali sikuwahi kuishi na mke wangu nyumba moja hadi alipokuja hapa kwangu Dar na ndipo nilipo gundua mengi sana.
Mke wangu akienda msalani kujisaidia haja kubwa hata aki flash bado harufu ile kali haiondoki kwa masaa. Nikajua akikaa hapa Dar akizoea aina hizi za vyakula hali ile itaondoka, lakini ndio inazidi na tumetumia dawa nyingi za tumbo lakini hamna unafuu.
Ombi langu. Je, kuna yeyote hapa ni mtaalam wa afya ya binadamu anaweza tusaidia au kutushauri tufanye nini au twende wapi?
Natanguliza sana shukran zenu na nasubiri msaada wenu
Asante.
Awali sikuwahi kuishi na mke wangu nyumba moja hadi alipokuja hapa kwangu Dar na ndipo nilipo gundua mengi sana.
Mke wangu akienda msalani kujisaidia haja kubwa hata aki flash bado harufu ile kali haiondoki kwa masaa. Nikajua akikaa hapa Dar akizoea aina hizi za vyakula hali ile itaondoka, lakini ndio inazidi na tumetumia dawa nyingi za tumbo lakini hamna unafuu.
Ombi langu. Je, kuna yeyote hapa ni mtaalam wa afya ya binadamu anaweza tusaidia au kutushauri tufanye nini au twende wapi?
Natanguliza sana shukran zenu na nasubiri msaada wenu
Asante.