Hatujakataaa kuhus hilo, wengine hawana kazi ya mshahara na wana familia na maisha yanaenda as usual.Mi sishangai kwasababu nimeona watu wanalipwa 40000 kwa mwezi na ana familia sasa piga hesabu huyu mtu anaishi vipi.
Mwambie jamaa yako mkewe hajaibia sema hajapenda pesa alompa. Si unajua alitegemea apewe hata laki 2 atume kwao matumizi?Kuna best angu kaniomba ushauri nimeshindwa kumsaidia. Ipo hivi leo mida ya mchana alimchukua wife wake kutoka home akamshusha kituo cha mwendo kasi. akampatia tsh 90,000 kwamba aende kariakoo yy na watoto wake wawili akawafanyie shopping ya sikukuu.
Masaa kadhaa yakapita. Jamaa akasema ngoja ampigie kuona kama alifanikiwa. Simu ikawa haipatikani. Akajaribu baada ya few hours bado tena haipatikani akahisi kuna kitu hakipo sawa. Baada alivyorudi home akamkuta wife wake yupo home. Kumuuliza akamjibu very simple kuwa kaibiwa vitu vyote kariakoo simu pamoja na hela.
Jamaa alivyoanza kuhoji zaidi akaishia kuambiwa kama kupotea vimeshapotea kwa saut isiyoonyesha kuhudhunika wala nn. Ikumbukwe hela pamoja na hiyo simu vyote alipewa na huyu jamaa yangu.
Sasa jamaa yangu kamaindi kwamba haonyeshi kujutia vile hajanunua yy na hela zile ni za kupewa tu. Jamaa kakasirika sana na kaniomba ushauri. Wakuu hii imekaaje? Ni hatua gani anaweza kuchukua?
Nguo zipo mpaka. 5000 mpya za watoto kwa hivo sishangai.Hatujakataaa kuhus hilo, wengine hawana kazi ya mshahara na wana familia na maisha yanaenda as usual.
Ila shopping ya 90k watu wa 3, msimu wa skukuu af n kkoo, mmmh
Amesema ni shopping ya sikukuu sasa sikukuu watoto wananunuliwa nini, au toys? Kama sio nguo basi ni viatu, kama sio viatu, yes nguo watoto wananunuliwa wakati wote ila mwenye mada kasema bi shopping ya sikukuuHajasema ni shopping ya nini! Inawezekana siyo ya nguo kama unavyofikiria wewe na nguo alishanunua. Wakati wa sikukuu watoto wanaweza kununuliwa vitu vya aina nyingi.
Mkuu hawezi, nguo za watoti wawili labda anunue maronyaronyaUnamaanisha kweli hawezi kupata nguo za watoto kwa hela hio?!! Au unakusudia nini.
Nimeshangaa sana kuona mtu anampa mke 90,000 ta shopping ya watoto wawili, wakati mwingine inabidi mume nae aingie madukani ajue vei ya vitu bila hivyo utajikuta unamnyanyasa mke bureJamaa "anamweka mkewe kwenye majaribu makubwa", akishawishiwa akashawishika kosa ni la mume.
Pole sana, ila swala la nguo za watito na mahitaji yao halijali sana kipato, mara moja moja kwa mwaka unajitosa familia yako nao wafurahiMkuu unapesa eeeh.
Mfano mimi kipato changu kwa mwezi laki mbili na nusu...hizo suti za 75000 wanangu watazisikia kwako mkuu.
Sasa nyanya na vitunguu ndio amwambie akawafanyie watoto shopping? Maana mtoa mada amesema mke alipewa akawafanyie watoto wawili shoppingKwan hiyo 90k mbona mtoa mada haja specify kuwa ni shopping ya nn!!!
Huenda ni shopping ya jikon tu..nyanya na mambo simple simple.au huko kkoo ni nguo tu!?
Ndio maana unadharau helaWee bhana si msimu wa sikukuu tyuuuh, it means nilijichanga kwa mwaka mzima.
Mie sna kazi yeyote, naishi kkb, kula, kulala bure.
Heeeh wee nae, hata km ivo, iv 90k ni ya shopping kwa watu wa 3? Plus chakula tena kkoo? Afu ni msmu wa skukuu,Ndio maana unadharau hela
Wenye familia zao wanawaangalia tu mnavyojisemesha hapa
Hapa tunatufautiana jambo moja tuHeeeh wee nae, hata km ivo, iv 90k ni ya shopping kwa watu wa 3? Plus chakula tena kkoo? Afu ni msmu wa skukuu,
Aaaaah wee acha zako bhanaah.
Wee umesema nadharau pesa, ndo maan nkakujibu vile.Hapa tunatufautiana jambo moja tu
Inawezekana hiyo ni hela ndogo kwako
Na inawezekana hiyo ni hela kubwa kwa mwingine
Yote yanawezekana, lilikua suala la kukubaliana tu sijui mnabishana nini
90000 watoto wawiliJamaa yako ni aina ya jon alcohol
Aina ya wanaume ambao mpaka mwanamke atoe chozi la damu ndo ajue kaumia
Alafu elfu 90,000 ?? Kariakoo, msimu huu wa sikukuuu ??
Mie naona dem katumia akili tu, ili jamaa ampe hela ingine ,arudi sasa akaongezee ya awali anunue.
Kwa mtu mwingine atatafsiri ni dharauWee umesema nadharau pesa, ndo maan nkakujibu vile.
Tuangalie na ukweli halis lol.
Mke amekataa majaribu...Nimeshangaa sana kuona mtu anampa mke 90,000 ta shopping ya watoto wawili, wakati mwingine inabidi mume nae aingie madukani ajue vei ya vitu bila hivyo utajikuta unamnyanyasa mke bure
kwanini ampige wakati kaenda na Watoto Kariakoo na hawakupoteaAmpe kipigo cha mbwa koko maana jeuri