Wanajamvi tuchangiane mawazo tafadhali kwa wale ambao wamekutana na kazi hizi mbili;
1. Mfumo wa choo cha kizamani, namaanisha unamuita fundi anachimba shimo anajengea vizuri kama tunavyofanya siku zote.
2. Mfumo wanaoita wakisasa, wakiutangaza sana kuwa vyoo havijai n.k, wanaita wenyewe vyoo vya kisasa.
Swali langu ni kuwa, changamoto gani inapatikana kwa vyoo wanavyoita vya kisasa ambavyo wanatangaza kila siku kuwa havijai n.k?
Je, ni mfumo mzuri au bora mtu aendelee na mfumo tuliozoea wakila siku (mfumo wa zamani)?
Msaada wa maoni na mawazo.
1. Mfumo wa choo cha kizamani, namaanisha unamuita fundi anachimba shimo anajengea vizuri kama tunavyofanya siku zote.
2. Mfumo wanaoita wakisasa, wakiutangaza sana kuwa vyoo havijai n.k, wanaita wenyewe vyoo vya kisasa.
Swali langu ni kuwa, changamoto gani inapatikana kwa vyoo wanavyoita vya kisasa ambavyo wanatangaza kila siku kuwa havijai n.k?
Je, ni mfumo mzuri au bora mtu aendelee na mfumo tuliozoea wakila siku (mfumo wa zamani)?
Msaada wa maoni na mawazo.