Msaada: Mdogo wangu ana stress za maisha

Msaada: Mdogo wangu ana stress za maisha

Binadamu anahitaji mambo matatu ili awe na furaha
1. Shughuli ya kufanya
Mifano:
Mwanafunzi, kusoma.
Mfanyakazi, kazi.
Mfanyabiashara, biashara.

2. Jambo la kutumainia
Mifano:
Mwanafunzi, nikimaliza chuo nitaajiriwa.
Mfanyakazi, mwakani napanda ngazi ya mshahara.
Mfanyabiashara, msimu wa sikukuu unakaribia, nitauza sana.

3. Mtu wa kumpenda
Mifano:
Mke au mume.
Mpenzi au Mchumba.
Rafiki.

Kama kuna kinachomisi kati ya hayo usitegemee awe mwenye furaha.

Dondoo ya moja kwa moja
Kijana amemaliza chuo yupo nyumbani, maana yake hana cha kufanya.
Kama hana cha kufanya, ina maana hana tumaini lolote
Kama hana tumaini lolote anakuwa ni mtu ambae hapendeki.
Kumbuka mkono mtupu haurambwi.
Mtafutie kijana ishu ya kufanya mengine yatajiset yenyewe.
 
Sio uzungu, kaka. All humans are the same no matter the race!

Wa Tanzania wengi hatuamini hiki kitu lakini kipo - Sonona ipo tena kwa asilimia zaidi ya mia! Kuna vijana wanaamua kujitoa duniani kwa sababu hizo na ni suala ambalo lingezuilika kwa maongezi tu - Yaani kubadilisha mtazamo wa muathirika kwa maongezi tu.

Kama ulinielewa nilianza na "talk to him" na uelewe anataka nini.. Ila kwa wewe haitakuwa accurate sana ukilinganisha na therapist ambae ataelewa moja kwa moja shida na namna ya kuisolve!!

But again! Is money more important than rescuing a human??
Therapist ndio nani weweeeee juzi hapa haohao wanaojifanya washauri kajiangusha kutoka ghorofani kafa hawana lolote!
 
Hicho kipindi aisee ni kibaya sana,tena kwa mtoto wa kike nadhani ni kipindi kibaya zaidi tho' binadamu ni binadamu,.niliwahi kukieksipiriensi few years ago...lol😂😂😂nyumbani unakula vizuri tena wakati mwingine wewe ndio unapanga mle nini japo huna hata100 mbovu,unalala vizuri and you can hang out with friends sometimes lakini nilijihisi kabisa siko sawa i need something extra,nahitaji KUJITEGEMEA hata kama niko home nahitaji kuwa na "cha kwangu" yaani unakuwa na stress halafu sijui inakuwaje kipindi hiki nacho mahusiano hayanogi yaani hupati mtu yule unamuhitaji daaah😂😂😂😂but all in all ni kipindi kifupi lakini kina mapito ambayo ukivuka salama hakika taji inakuhusu nilikuwa napenda kujiongelesha kwa sauti "Abba Father where are You" "are you listening" "why this" "please help me".....

Ndugu wa karibu pia mna mchango mkubwa wa kumpunguza hayo mawazo,kumpa moyo kwa mifano iliyo hai na kumuhusisha na mambo ya IMANI kama niwaamini..
 
Habari

Kuna mdogo wangu mhitimu wa chuo kikuu mwaka huu mwezi wa 7.

Baada ya kumaliza chuo nilimfwata nyumbani kwa mzee nikamchukua nakuishinae hapa nyumbani kwangu.

Lakini baada ya kukaanae nimegundua kuwa dogo anapresha ya maisha, yani anastress kutokana nakuwaza sana maisha.

Hali hiyo humfanya kutokuwa na furaha kabisa ilhali hakuna anachokosa hapa nyumbani maana anakula vizuri na kulala vizuri.

Sasa ndugu zangu naombeni ushauri nifanye nini hili nimsaidie dogo maana naona anakosa furaha muda mwingi asijekuathirika kisaikolojia
Shughulika na kinachompa hizo stress
 
mfungulie biashara ndogo hata M PESA aji keep bize, tena ikiwezekana mtafutie chumba hata cha bei nafuu awe huru, mlipie kodi ya mwaka mzima nakuhakikishia atarudisha furaha ndani ya muda mfupi, usimfuge hapo kwako huyo sio mbuzi ni binadamu
 
Hiyo situation inawakiwata graduate wengi wa chuo cha muhimu mpe au afanya kitu kazi, biashara itàfunya kuwa busy

Kukaa Nyumbani bila kazi kula na kulala ni kazi sana kwa mtu anayejitambua

Alafu anaonesha alikuwa na expectation nyingi lakini mtaani hakuna reality ya ecpectation it nothing


Find something which will make him busy
Anaboleka tu kukaa bila kazi au kitu cha kufanya basi ndio anaenda kwenye mastress
 
Habari

Kuna mdogo wangu mhitimu wa chuo kikuu mwaka huu mwezi wa 7.

Baada ya kumaliza chuo nilimfwata nyumbani kwa mzee nikamchukua nakuishinae hapa nyumbani kwangu.

Lakini baada ya kukaanae nimegundua kuwa dogo anapresha ya maisha, yani anastress kutokana nakuwaza sana maisha.

Hali hiyo humfanya kutokuwa na furaha kabisa ilhali hakuna anachokosa hapa nyumbani maana anakula vizuri na kulala vizuri.

Sasa ndugu zangu naombeni ushauri nifanye nini hili nimsaidie dogo maana naona anakosa furaha muda mwingi asijekuathirika kisaikolojia

Hao ndo watakuja kua wezi..yani ana stress za maisha kukaa miezi mitatu nyumbani..anakula bure analala bure..akiingia mtaani je itakuaje..unapata kazi ya laki mbili mshaara kwa mwezi unatakiwa ule ulipe nauli,ujihudumie na imalize mwezi ujao..wengine wamekaa miaka mitano hawana ajira yoyote..sa huyo akifikisha miaka mitatu tu utasikia kajinyonga..na mwambie asije akategemea mtaji wa kupewa kutoka mfukoni kwa mtu,kwa maana izo ni bahati za wachache..atoke atafute mwenyewe..kama ni wakike akaolewe asogeze siku..
 
Habari

Kuna mdogo wangu mhitimu wa chuo kikuu mwaka huu mwezi wa 7.

Baada ya kumaliza chuo nilimfwata nyumbani kwa mzee nikamchukua nakuishinae hapa nyumbani kwangu.

Lakini baada ya kukaanae nimegundua kuwa dogo anapresha ya maisha, yani anastress kutokana nakuwaza sana maisha.

Hali hiyo humfanya kutokuwa na furaha kabisa ilhali hakuna anachokosa hapa nyumbani maana anakula vizuri na kulala vizuri.

Sasa ndugu zangu naombeni ushauri nifanye nini hili nimsaidie dogo maana naona anakosa furaha muda mwingi asijekuathirika kisaikolojia
kupata chakula kizuri na malazi mazuri siyo kila kitu mzee,kaa na dogo friendly zungumza nae,muwekee mazngra ya yy kufunguka,huenda kuna kitu ambacho kinafanya asiwe na fraha,wewe umekadiria tu kuwa stress za maisha,huenda siyo kweli,vipi tatizo likiwa labda ni HIV test results ambazo hakutarajia kuzipata (mfano),vipi kama hawako sawa na mkeo hapo hom????msikilize dogo,huenda stress za maisha unazisingizia
 
Hicho kipindi aisee ni kibaya sana,tena kwa mtoto wa kike nadhani ni kipindi kibaya zaidi tho' binadamu ni binadamu,.niliwahi kukieksipiriensi few years ago...lol😂😂😂nyumbani unakula vizuri tena wakati mwingine wewe ndio unapanga mle nini japo huna hata100 mbovu,unalala vizuri and you can hang out with friends sometimes lakini nilijihisi kabisa siko sawa i need something extra,nahitaji KUJITEGEMEA hata kama niko home nahitaji kuwa na "cha kwangu" yaani unakuwa na stress halafu sijui inakuwaje kipindi hiki nacho mahusiano hayanogi yaani hupati mtu yule unamuhitaji daaah😂😂😂😂but all in all ni kipindi kifupi lakini kina mapito ambayo ukivuka salama hakika taji inakuhusu nilikuwa napenda kujiongelesha kwa sauti "Abba Father where are You" "are you listening" "why this" "please help me".....

Ndugu wa karibu pia mna mchango mkubwa wa kumpunguza hayo mawazo,kumpa moyo kwa mifano iliyo hai na kumuhusisha na mambo ya IMANI kama niwaamini..
Hili siyo wewe peke yako uliye wahi ku kukieksipiriens tupo wengi mbona 😂 😂 😂 .
 
Back
Top Bottom