Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

19871990

Member
Joined
Oct 28, 2017
Posts
16
Reaction score
12
Habarini wana Jf kwa mara ya kwanza najitokeza kuomba msaada kwenu naamini nitasaidika nipo katika hali ngumu sana

Mwenye shilingi elf 5 tu naomba anisaidie nitamrudishia mwiisho wa mwezi angalau inisaidie kuishi mpaka tarehe 23/3

Hapa ninapoandika thread hii sina cent tano mfunikoni sina pa kukimbilia nikaona nije huku najua kuna watu watakaoguswa kunisaidia.

I declare my interest mimi ni mfanyakazi serikalini na nina mshahara si mkubwa sana ila unaitosha kwa kuishi na kulipa kodi ila mwezi huu nilipatwa na challenge ambayo ilisababisha nilimaliza hela zote toka tarehe 5/11 kuanzia hapo nikaanza kukopa kwa rafiki wa karibu sasa imekuwa too much mpaka naona aibu kukopa tena

Nimekuwa nikila mlo mmoja kuanzia tar 5/11 mpka sasa naona hali yangu sio nzuri kiafya. Nimejaribu kuuza simu bila mafanikio ya kupata mteja.

Naomba mnisaidie dada yenu kuna muda nawaza hata kwenda kujiuza maana sina namna ya kuishi.

Najua mtauuliza nimenunua vipi vocha na kuweka mb ni Hivi nilikua nimebakiwa na 500 tu nikaona nitumie njia hii labda naweza pata msamaria humu wa kunikopesha hata kwa riba.

Natanguliza shukrani za dhati kwa atakaenisaidia mkopo wa sh 5000 kwa riba ya 5000.

Ukiguswa kunikopesha naomba nione pm nikupe namba
Msaada wa haraka wanajf kabla MB hazijaisha zikiisha hata hiyo pm sijui nitaifunguaje
 
Siku Nyingine Ukiweka Uzi Weka Na Namba Ya Simu Ambayo Tutakutumia Izi Pesa Sasa Wew Unaweka Uzi Pasipo Na # Ili Iweje
 
Mbona benki wanatoa mkopo kwa wafanyakazi wanaopokea mshahara nenda kabla hujatoka ni asililmia 5 tu ya riba wakakukopeshe... anyway tupe namba yako tukusaidie
 
Uaminifu kazi, watu wamekuwa wabunifu mno, lakini mnawahalibia wenye shida za kweli.
 
Pengine unaweka shida yako hii kutafuta wateja..maana vyuma vimekaza hadi vinapata kutu.
 
Pole. Watumishi wa serikali ndivyo walivyo. Usitoe nmbr, Fungua akaunti paypal nkutumie hela. Ila ni virtual,
 
Hahah mkuuu unatukumbusha mambo ya assist
 
Uaminifu ninao wapendwa ila kwa atakae penda kunisaidia kweli naomba anione pm nimpatie namba maana kuianika hapa sio vizuri sana.
Nikipata elf 5 tu nitashukuru angalau leo na mimi nile hata ugali na dagaa
 
Uaminifu ninao wapendwa ila kwa atakae penda kunisaidia kweli naomba anione pm nimpatie namba maana kuianika hapa sio vizuri sana.
Nikipata elf 5 tu nitashukuru angalau leo na mimi nile hata ugali na dagaa
Wakikupa 10,000 nakupm namba yangu unipunguzie kidogo na mimi nipate kusogeza siku.
 
Back
Top Bottom