ivi kuna mfanyakazi wa serikalini hadaiwi kweliMbona benki wanatoa mkopo kwa wafanyakazi wanaopokea mshahara nenda kabla hujatoka ni asililmia 5 tu ya riba wakakukopeshe... anyway tupe namba yako tukusaidie
ivi kuna mfanyakazi wa serikalini hadaiwi kweliMbona benki wanatoa mkopo kwa wafanyakazi wanaopokea mshahara nenda kabla hujatoka ni asililmia 5 tu ya riba wakakukopeshe... anyway tupe namba yako tukusaidie
Nahitaji elf 5 tu ya kunisogeza siku ya mshaharaMbona benki wanatoa mkopo kwa wafanyakazi wanaopokea mshahara nenda kabla hujatoka ni asililmia 5 tu ya riba wakakukopeshe... anyway tupe namba yako tukusaidie
Hakuna kitu kama hichoAcha usanii... si ukaombe salary advance
Tena acha uongo....!!!Hakuna kitu kama hicho
Kama huwezi kunisaidia kwa nini usipite kimya tu kuliko kuniongezea stress wakati tayari ninazo za kutoshaTena acha uongo....!!!
daah binadam tuna kazi jamaniHaahhahahaha haya pooole basi... msaidie huyu asifeKama huwezi kunisaidia kwa nini usipite kimya tu kuliko kuniongezea stress wakati tayari ninazo za kutosha![]()
![]()
daah binadam tuna kazi jamani
Tayari nadaiwa ndo iliyonisogeza mpaka leoNenda play store, download app inaitwa branch, kopa hiyo sh 5000.
Duuh ma dia, we ni teacher?Tayari nadaiwa ndo iliyonisogeza mpaka leo
Ndio mimi teacher sina mpenzi kwa sasa my love story is really sad sipendi hata kukumbukaDuuh ma dia, we ni teacher?
According to maelezo yako ni mwanamke, wapi shemeji hata nae kashindwa kukutoa?
Teh ngoja nije pm mwalimu mwenzangu, nkukaribishe hata dinner tule wali maharage siku ziendeNdio mimi teacher sina mpenzi kwa sasa my love story is really sad sipendi hata kukumbuka
Afadhali mkuu.Nilitaka kuandika maneno ya kebehi lakini huwezi jua.
Usiongee neno lolote baya kwa mtu anayeomba.