Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

Mbona benki wanatoa mkopo kwa wafanyakazi wanaopokea mshahara nenda kabla hujatoka ni asililmia 5 tu ya riba wakakukopeshe... anyway tupe namba yako tukusaidie
ivi kuna mfanyakazi wa serikalini hadaiwi kweli
 
Mmmmh kopa kwa wafanyakazi wenzio hapa MTU kukuamini ni kazi.
 
Mbona benki wanatoa mkopo kwa wafanyakazi wanaopokea mshahara nenda kabla hujatoka ni asililmia 5 tu ya riba wakakukopeshe... anyway tupe namba yako tukusaidie
Nahitaji elf 5 tu ya kunisogeza siku ya mshahara
 
Nenda play store, download app inaitwa branch, kopa hiyo sh 5000.
 
Back
Top Bottom