Msaada: Maeneo mazuri ya kuishi Dar es Salaam

Msaada: Maeneo mazuri ya kuishi Dar es Salaam

tupe wawili matatu kuhusu ububgi kibangu
1.Sio pa kishua sana pia sio uswazi
2.Hakuna matukio ya wizi na ya ajabu ajabu
3.Hakuna tatizo la maji kabisa
4.Upatikanaji wa huduma za kijamii upo karibu Hasa hicho kiosk/usafiri upo/mandhari nzuri/upepo mwanana tena huku kibangu juu unaona City view yote
5.Hapajawahi kukumbwa na mafuriko hata siku
6.Hakuna uswahili uswahili kila mtu na maisha yake
 
i accept your challenge, so utanipatia direction pia.

master-sebure-jiko, ndani ya geti, descent street, 150k to 200k per month, unganisha na specifications zangu za juu.
Unataka immediately kuanzia lini?
Embu njoo PM nikupe details ufanye chaguo mwenyewe.
 
1.Sio pa kishua sana pia sio uswazi
2.Hakuna matukio ya wizi na ya ajabu ajabu
3.Hakuna tatizo la maji kabisa
4.Upatikanaji wa huduma za kijamii upo karibu Hasa hicho kiosk/usafiri upo/mandhari nzuri/upepo mwanana tena huku kibangu juu unaona City view yote
5.Hapajawahi kukumbwa na mafuriko hata siku
6.Hakuna uswahili uswahili kila mtu na maisha yake
ahsante kwa muda wako... ahsante sana .nitandelea kupafahamu zaidi..
 
Back
Top Bottom