Msaada: Maeneo mazuri ya kuishi Arusha

Msaada: Maeneo mazuri ya kuishi Arusha

Financial Analyst

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2017
Posts
2,296
Reaction score
5,248
Habari wana JF,

Kwa wale ambao wanaifahamu Arusha vizuri, ni Maeneo au Mitaa gani ya kuishi (kupanga nyumba/chumba) ambayo yanalandana na sifa zifuatazo?

1. Sio maeneo ya uswazi/uswahilini
2. Hayana matukio makubwa ya wizi na vibaka
3. Upatikanaji wa karibu wa huduma za kijamii na kiuchumi. (maji, kiosk, etc)
4. Inaweza kuwa nje ya mji ila isiwe mbali sanaa na mjini kivile
5. Haikumbwi na mafuriko wakati wa mvua

Ahsante.
 
Back
Top Bottom