Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,157
- 14,120
Ngoja nami nikafanye katour Arusha City.
Muarusha hana tofauti na mzaramo kabisa yan unawatofatisha kidogo sana nenda mitaa anzia shamsi mpaka soko mjinga alafu ingine anzia technical mpaka Arusha meat huko nyumba n nzuri na wenye nyumba wanazipenda nyumba zao town unaingia na kutoka muda wowote iwe kwa mguu au kwa gariWakuu vipi kuhusu kijenge maana na Mimi Niko Sanawari nataka nitafute sehemu nyingine lakini iwe karibu na town maana huyu muarusha nimeshindwa kuishi naye .
Elimu za watu wazima ndugu yanguSentense ndefu hii. Shule ya msingi uliruka, nini?
Tech pale nyumba ziko wapi? Sio asogee silent in.Muarusha hana tofauti na mzaramo kabisa yan unawatofatisha kidogo sana nenda mitaa anzia shamsi mpaka soko mjinga alafu ingine anzia technical mpaka Arusha meat huko nyumba n nzuri na wenye nyumba wanazipenda nyumba zao town unaingia na kutoka muda wowote iwe kwa mguu au kwa gari
vp moshono au napo usafiri itazinguaNjiro magari (hiace) ikifika saa 3 Usk ni mtihani
Tafuta Sakina.
Na wameru? Wachokozi sanaMuarusha hana tofauti na mzaramo kabisa yan unawatofatisha kidogo sana nenda mitaa anzia shamsi mpaka soko mjinga alafu ingine anzia technical mpaka Arusha meat huko nyumba n nzuri na wenye nyumba wanazipenda nyumba zao town unaingia na kutoka muda wowote iwe kwa mguu au kwa gari
Opposite ya chuo ka unaenda mianzinTech pale nyumba ziko wapi? Sio asogee silent in.
Mpka Arusha meat nakupa 👍
Sina uhakika kwa usiku.vp moshono au napo usafiri itazingua
Labda useme mmeru ndo modern ya muarushaNa wameru? Wachokozi sana
Muarusha ndiyo modern mmasai au?
Habari wana JF,
Kwa wale ambao wanaifahamu Arusha vizuri, ni Maeneo au Mitaa gani ya kuishi (kupanga nyumba/chumba) ambayo yanalandana na sifa zifuatazo?
1. Sio maeneo ya uswazi/uswahilini
2. Hayana matukio makubwa ya wizi na vibaka
3. Upatikanaji wa karibu wa huduma za kijamii na kiuchumi. (maji, kiosk, etc)
4. Inaweza kuwa nje ya mji ila isiwe mbali sanaa na mjini kivile
5. Haikumbwi na mafuriko wakati wa mvua
Ahsante.
Na wameru? Wachokozi sana
Muarusha ndiyo modern mmasai au?
sina uhakika ila navyosikia muarusha ni mmasai alie kulia town kwa muda mrefu na kutengeneza kutengeneza ki mini-culture kingine na lifestyle ingineLabda useme mmeru ndo modern ya muarusha
sawa sawa mkuu aldeo , free knowledge from u..Moshono Njiro Ngaramton Tengeru mpaka USA na kisongo asubuh kuingia mjini ni shida jioni kurud home n shida public transport n changamoto ila Morombo sakina sanawari mpaka kwa mrefu na unga limited usafir n rahis mpaka saa sita hv na asubuh saa kumi na moja magari unapata kabisa
Morombo ni kweli ila mimi jamani sijui nakuonaje.Moshono Njiro Ngaramton Tengeru mpaka USA na kisongo asubuh kuingia mjini ni shida jioni kurud home n shida public transport n changamoto ila Morombo sakina sanawari mpaka kwa mrefu na unga limited usafir n rahis mpaka saa sita hv na asubuh saa kumi na moja magari unapata kabisa
Njiro kule n majanga tuu kumejengeka ila mvua ikinyesha mziki utauona sio gari wala mguu pia Morombo ola City shida vidimbwi vingi mno Bora sakina ukipata nyumba ya mangi basi umeulaMorombo ni kweli ila mimi jamani sijui nakuonaje.
Njiro gari zinaamka saa 1 kasoro, usiku saa 2 zishapotea
Sio Njiro yote uwa na tope.Njiro kule n majanga tuu kumejengeka ila mvua ikinyesha mziki utauona sio gari wala mguu pia Morombo ola City shida vidimbwi vingi mno Bora sakina ukipata nyumba ya mangi basi umeula
Mie Njiro sijabahatika kuielewa kabisa bora nikae moshono au nigeuze nikalikite sakina kwa idd kule juu niwe napiga stor na mlima meruSio Njiro yote uwa na tope.
Sakina 👍
Morombo mimi ❌
Karibu,Umekuja huku?nyumba nenda sakina,tafuta ya 150k per month.Habari wana JF,
Kwa wale ambao wanaifahamu Arusha vizuri, ni Maeneo au Mitaa gani ya kuishi (kupanga nyumba/chumba) ambayo yanalandana na sifa zifuatazo?
1. Sio maeneo ya uswazi/uswahilini
2. Hayana matukio makubwa ya wizi na vibaka
3. Upatikanaji wa karibu wa huduma za kijamii na kiuchumi. (maji, kiosk, etc)
4. Inaweza kuwa nje ya mji ila isiwe mbali sanaa na mjini kivile
5. Haikumbwi na mafuriko wakati wa mvua
Ahsante.