Msaada: Library and Information Management

Msaada: Library and Information Management

Oxpower

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,181
Reaction score
3,115
Naamini wote ni wazima na kwa wagojwa Mungu awape wepesi katika hilo.

Bila kupoteza muda

Naombeni msaada wa hiyo course tajwa kwa vipengele vifuatavyo

1. Wigo wake wa ajira ukoje
2. Wigo wa kujiajiri
3. Mwisho wa course mwanafunz ataweza kufanya nini

Mwisho kabisa kama kuna mtu anaielewa vizuri hii course au ameisoma tafazal nifafanulie kidogo maana sina uelewa nayo wa kutosha.
 
Naamini wote ni wazima na kwa wagojwa Mungu awape wepesi katika hilo.

Bila kupoteza muda

Naombeni msaada wa hiyo course tajwa kwa vipengele vifuatavyo

1. Wigo wake wa ajira ukoje
2. Wigo wa kujiajiri
3. Mwisho wa course mwanafunz ataweza kufanya nini

Mwisho kabisa kama kuna mtu anaielewa vizuri hii course au ameisoma tafazal nifafanulie kidogo maana sina uelewa nayo wa kutosha.
Vipi umefanikiwa kuisoma hyo course
 
Hapana ndugu,sijafanikiwa kuisoma,Mungu akijalia nitanza mwaka wa masomo 2023-2024
Nami pia naipenda hyo course nitakuja kuisoma huko mbeleni,ingawa nawaza jinsi ya kuja kumkwepa mwajiri
 
Unasoma hiyo course ili uje kuwa nani?

Mnasoma course za hovyohovyo halafu mkikosa Ajira muda mrefu mnaanza kuitukana serikali.
Ukisoma huo uzi najaribu kuuliza wadau juu ya hiyo course.ili nipate ABC pia wengine wenye interest waweze kufahamu.

Kama unafahamu lolote juu ya hiyo course naomba utupe abc zake ili tuchague mbivu na mbichi.

Natanguliza shukrani

Nb.mimi ni mtumishi na nataka hoyo course level ya masters kujiongezea value tu(interested zaid ni hiyo information management)
 
Back
Top Bottom