Wataalamu naomba kujua, Kama una YouTube Channel na Blog ambayo maudhui yake yanafanana na Channel. Je unatakiwa kusajili leseni mbili tofauti? au Ni leseni moja tu inajitosheleza?
Mkuu wewe jilipue weka kitu online ila usiweke taarifa zako binafsi ikifika wakati channel imekuwa maarufu ndio unaenda kwa hao majambazi wa tcra kuisajili
Wataalamu naomba kujua, Kama una YouTube Channel na Blog ambayo maudhui yake yanafanana na Channel. Je unatakiwa kusajili leseni mbili tofauti? au Ni leseni moja tu inajitosheleza?
Wataalamu naomba kujua, Kama una YouTube Channel na Blog ambayo maudhui yake yanafanana na Channel. Je unatakiwa kusajili leseni mbili tofauti? au Ni leseni moja tu inajitosheleza?
Mkuu. Blog na YouTube channel ni biashara mbili tofauti. Kila moja ina kodi yake kwa mwaka.
Kujua tembelea website ya TCRA nenda kwenye kusajili Blog au YouTube utaona gharama.
However, mfumo huu umekaa kimkakati, kwanza kukwamisha vijana wanaotafuta vijisenti mtandaoni. Ila lengo mahususi ni kudhibiti contents hasa za taharuki, habari za uongo na kuikosoa serikali bila uthibitisho.
Kama una lengo la kupost hard news na masuala ya siasa chukua tahadhari mapema nenda kasajili. Ila kama unaganga njaa tu nakushauri ujilipue.