Msaada kwa wanasheria: Nataka kuishtaki TCRA kwa kuendelea kuifungia Jamii Forums

Msaada kwa wanasheria: Nataka kuishtaki TCRA kwa kuendelea kuifungia Jamii Forums

PERAMIHO YETU 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2025
Posts
336
Reaction score
675
Ndugu wanasheria wote mlioko humu naomba mnipe muongozo juu ya jambo hili kwani kila kitu kipo wazi toka September jukwaa hili lilifungwa na December hii ilitakiwa lifunguliwe lakini bado.

Sasa kama JamiiForums ilitimiza hukumu na sisi Wanajamiiforums, TCRA haijatimiza wajibu wake hvyo kuna uvunjwaji wa sheria hapa.

Hivyo naomba msaada wa kishera juu ya hili kama member wa jamii forums ambaye nanyimwa Uhuru wa habari

Asanten sana
 
Hata ningekua mimi ningekifungia hiki kijiwe cha umbea😅

Anyway; hivi watu washapata mishahara sisi machawa tukajipendekeze
 
Mihimili yote kuanzia mahakama, bunge haipo huru ipo chini ya rais yeye ndo top say unategemea nini hapo!, labda zingekuwa mahakama za nje sio zetu uchwara hizi.
 
Ndugu wanasheria wote mlioko humu naomba mnipe.muongozo juu jambo hili kwani kila.kitu kipo wazi toka june jukwaa.hili.lilifungwa na december hii ilitakiwa lifunguliwe lakin bado
Sasa kama jamii forum ilitimiza.hukumu na ss wanajamio.forums TCRA haijatimiza wajibu wake hvyo kuna uvunjwaji wa sheria hapa
Hvyo.naomba msaada.wa.kishera juu ya hili kama member wa jamii forum.ambaye nanyimwa. Uhuru wa habar
Asanten sana
Labda The Hague, kwa Masatu usijisumbue!
 
Back
Top Bottom