Msaada kwa ndugu yetu huyu

Msaada kwa ndugu yetu huyu

Unajua kuna watu (haters) wapuuzi wachache wanajaribu kupotosha.. Sasa hapo mimi nataka nitapeli nini hapa kwa mfano

Nilichoomba ni msaada kwa mtu aliye polisi na kituo nimetaja.. Kuna watu upunguani umewajaa vichwani...
Kuna namba ya askari nimeweka hapo juu pls jaribu kucheki naye
+255692604026
I wish ningekuwa dar, hata bila pesa ningefanya kitu. Kiufupi mshana haukuwa ukihitaji hata senti moja, ulitaka ndg yetu asaidiwe mojakwamoja. Hao haters waache tu.
 
Last week nilipata mgeni toka nchi jirani ya Kenya. Ni mwana JF aliyekuja Tanzania kunitembelea. Siku ya Ijumaa iliyopita aliniaga kuwa ana hamu ya kufika beach, maisha yake mengi hajawahi kuwa karibu na Pwani

Hivyo aliondoka kuelekea Dar ili afike beach, mawasiliano na yeye yalikatika kwenye saa 12 jioni akiwa njiani kwenda Dar.
Siku ya Jumamosi mchana nikapata wito toka polisi Kigamboni kwamba kuna ndugu yangu yuko chini ya ulinzi hapo kituoni kwa makosa ya kutaka kujiua.. Ya kwamba jana yake usiku wa saa mbili akiwa kapanda kivuko cha Kigamboni arijirusha baharini kivuko kikiwa hakijafika upande wa pili. Aliokolewa na wazamiaji na kupelekwa kituoni na baadae hospitalini.

Jumamosi asubuhi alitolewa hospitali na kupelekwa polisi na Jumamosi jioni alihamishiwa toka kituo cha polisi Kigamboni na kuletwa kituo cha polisi kilicho karibu na Azam

Jumatatu asubuhi alikabidhiwa kwa maofisa Uhamiaji lakini changamoto ikawa hana nguo kwakuwa alizozama nazo hazikuwepo tena na alikuwa na shuka tu.

Nimeshafanya mpango wa nguo na slippers lakini kwa sasa hana document yoyote passport na simu na hela vilipotea wakati wa uokozi.

Niko mbali na Dar ambaye anaweza kutoa assistance yoyote tuwasiliane. Yuko kituo cha polisi marine na hana hata pesa ya kula.

Natanguliza shukrani
Mkuu,alipataje mawasiliano nawe tena akati hapo awali alipozama kila kitu kilibaki baharini? 2.kwann usijitolee kumdhamini ilihali n rafiki ako? Unaogopa nn??!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kumuuliza alipataje namba yangu na kuwapatia police kwakuwa bado yupo police unaweza kufika na kupata maelezo yake
Kule wadhamini wanatakiwa wawili kila mmoja aweke bond ya million moja
Mkuu,alipataje mawasiliano nawe tena akati hapo awali alipozama kila kitu kilibaki baharini? 2.kwann usijitolee kumdhamini ilihali n rafiki ako? Unaogopa nn??!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kumuuliza alipataje namba yangu na kuwapatia police kwakuwa bado yupo police unaweza kufika na kupata maelezo yake
Kule wadhamini wanatakiwa wawili kila mmoja aweke bond ya million moja

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kusema bado yuko polisi?
Na ubalozi wa Kenya walijulishwa?

God save us
 
Update....
Kwanza niwashukuru wana JF wote walioguswa na hili jambo na wale ambao walifanya ya ziada...
Shida ilikuja Kutokea kwenye mawasiliano kati ya wanaotaka kutoa msaada na police wa marine... Kuna mtu hapa.. Nitamtaja akiridhia alifanya mawasiliano na ubalozi wa Kenya nao wakawa tayari kusaidia lakini kupiga simu nilizowapea na nyingine walizopata wao hakukuwa na response nzuri...
Police walikana kuwa na mtu kama huyo kituoni marine.. Uhamiaji pia hawakuwa na kesi kama hiyo.. Ubalozi wakaamua kuachana nayo.. Ni almost nilionekana muongo...
Jana mhusika alinipigia simu kwa kuanza na lawana kuwa sikuwa rafiki wa kweli.. Juhudi zote nilizofanya, msaada na gharama hakuzizingatia.... Nilimwelewesha kwa upole
Kumbe siku ya aliyopandishwa kizimbani mwezi December alikosa dhamana na kupelekwa SEGEREA mpaka siku ya jana baba yake aliyefika kutoka Kenya alipomtoa
Leo ndio ilikuwa aondoke Kenya lakini begi lake na documents vikiwa gesti kibaha alikokuwa na deni la siku 3... Jana alimtuma bodaboda wangu lakini bila hela.. Hivyo akakwama
Leo nikiwa kwenye harakati za kusaidia babayake akanipigia simu ya vitisho kwamba nashikilia begi la mwanae na documents zake na alinipa muda nivitoe lakini nimeshindwa sasa atanishtaki...
Nilikasirika mno kupita maelezo...



Jr
 
Nimekutana na visa vingi JF... Kiuhalisia JF si mahali salama sana kuna vijana wengi wanaitumia hii forum vibaya... Licha ya kwamba JF kuna wema wengi tu na wanaojitambua lakini vimeo wapo pia wengi tu..
Nina list ndefu lakini kuna huyu wa December.. Namsubiri aingie kwenye target.. Nitamleta hapa na kusimulia kila alichokifanya...

USHAURI WANGUA KWENU: EPUKENI KUJARIBU KUSAIDIA hawa watu wenye anuani za mtandoni.. Wengi si wakweli na si waaminifu..
Natambua wale tuliofanya nao kazi kwa uaminifu hawa hawahusiki hapa

Jr
 
Pole sana.
Usivunjike moyo bali endelea kuwa makini.
Update....
Kwanza niwashukuru wana JF wote walioguswa na hili jambo na wale ambao walifanya ya ziada...
Shida ilikuja Kutokea kwenye mawasiliano kati ya wanaotaka kutoa msaada na police wa marine... Kuna mtu hapa.. Nitamtaja akiridhia alifanya mawasiliano na ubalozi wa Kenya nao wakawa tayari kusaidia lakini kupiga simu nilizowapea na nyingine walizopata wao hakukuwa na response nzuri...
Police walikana kuwa na mtu kama huyo kituoni marine.. Uhamiaji pia hawakuwa na kesi kama hiyo.. Ubalozi wakaamua kuachana nayo.. Ni almost nilionekana muongo...
Jana mhusika alinipigia simu kwa kuanza na lawana kuwa sikuwa rafiki wa kweli.. Juhudi zote nilizofanya, msaada na gharama hakuzizingatia.... Nilimwelewesha kwa upole
Kumbe siku ya aliyopandishwa kizimbani mwezi December alikosa dhamana na kupelekwa SEGEREA mpaka siku ya jana baba yake aliyefika kutoka Kenya alipomtoa
Leo ndio ilikuwa aondoke Kenya lakini begi lake na documents vikiwa gesti kibaha alikokuwa na deni la siku 3... Jana alimtuma bodaboda wangu lakini bila hela.. Hivyo akakwama
Leo nikiwa kwenye harakati za kusaidia babayake akanipigia simu ya vitisho kwamba nashikilia begi la mwanae na documents zake na alinipa muda nivitoe lakini nimeshindwa sasa atanishtaki...
Nilikasirika mno kupita maelezo...



Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekutana na visa vingi JF... Kiuhalisia JF si mahali salama sana kuna vijana wengi wanaitumia hii forum vibaya... Licha ya kwamba JF kuna wema wengi tu na wanaojitambua lakini vimeo wapo pia wengi tu..
Nina list ndefu lakini kuna huyu wa December.. Namsubiri aingie kwenye target.. Nitamleta hapa na kusimulia kila alichokifanya...

USHAURI WANGUA KWENU: EPUKENI KUJARIBU KUSAIDIA hawa watu wenye anuani za mtandoni.. Wengi si wakweli na si waaminifu..
Natambua wale tuliofanya nao kazi kwa uaminifu hawa hawahusiki hapa

Jr
Du pole sana mkuu. Naona huenda wamekupata. Ukishatulia ukiweza tuelezee vizuri mkasa wote kwa undani. Hii ndiyo dunia.
 
Back
Top Bottom