Update....
Kwanza niwashukuru wana JF wote walioguswa na hili jambo na wale ambao walifanya ya ziada...
Shida ilikuja Kutokea kwenye mawasiliano kati ya wanaotaka kutoa msaada na police wa marine... Kuna mtu hapa.. Nitamtaja akiridhia alifanya mawasiliano na ubalozi wa Kenya nao wakawa tayari kusaidia lakini kupiga simu nilizowapea na nyingine walizopata wao hakukuwa na response nzuri...
Police walikana kuwa na mtu kama huyo kituoni marine.. Uhamiaji pia hawakuwa na kesi kama hiyo.. Ubalozi wakaamua kuachana nayo.. Ni almost nilionekana muongo...
Jana mhusika alinipigia simu kwa kuanza na lawana kuwa sikuwa rafiki wa kweli.. Juhudi zote nilizofanya, msaada na gharama hakuzizingatia.... Nilimwelewesha kwa upole
Kumbe siku ya aliyopandishwa kizimbani mwezi December alikosa dhamana na kupelekwa SEGEREA mpaka siku ya jana baba yake aliyefika kutoka Kenya alipomtoa
Leo ndio ilikuwa aondoke Kenya lakini begi lake na documents vikiwa gesti kibaha alikokuwa na deni la siku 3... Jana alimtuma bodaboda wangu lakini bila hela.. Hivyo akakwama
Leo nikiwa kwenye harakati za kusaidia babayake akanipigia simu ya vitisho kwamba nashikilia begi la mwanae na documents zake na alinipa muda nivitoe lakini nimeshindwa sasa atanishtaki...
Nilikasirika mno kupita maelezo...
Jr