Kwa connection ulizonazo sidhani kama umeshindwa kupata mtu aliyeko Dar akakusaidia.
Kitendo cha kuleta hii issue hapa tells something fishy is around the corner.
Kama kweli mtu katoka Kenya kaja kutembelea Tanzania sidhani kama alikuwa na shida sana ya kufika beach, sababu hata Kenya beach zipo pia. Gharama za kwenda beach Kenya ni ndogo kuliko kuja beach za Tanzania. Umejiridhisha vp sio shushushu au mtu mwenye nia ovu?
Pia inawezekana vipi mtu atoke nchi jirani aje kukutembelea wewe, then umuache aende peke yake mkoa mwingine? Sababu wewe upo Pwani, ulimruhusu vipi aje Dar?
Kingine, inakuwaje mgeni wa nchi kama huyo, adai anaenda beach, then aache beach zooooote ambazo hazihitaji kupanda kivuko then aende Kigamboni ambako kunahitaji kivuko?
Pia, inakuwaje hukumpa maelekezo aende beach gani for his/her safety ukamuacha aende Kigamboni mpaka yamemkuta ya kumkuta kama haya?
Lastly, kama kweli alikuwa mgeni wako, how comes unashindwa kujitoa kumsaidia? Kwa nini usiahirishe shughuli zako za siku 1 au 2 uje kumtoa selo rafiki yako?
Akili kumkichwa.
Cc Unforgetable