muggyen
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 347
- 252
Wanawake wa Africa wengi si waongeaji wa shida zao, yaani hata kwenye mahusiano wanataka uweke rapport ndio atakwambia yanayomsibu, sina maana shida za kipesa, maana hilo kidogo kulisemea rahisi but kwa ufupi sana, sometimes ni sahihi kusema mwanamke ni taasisi, Wana mambo mengi. Ukiwa na pupa au jazba hakwambii ukweli, anakuzuga na yasiyoeleweka ila ukweli halisi wanafunga.Duh... kwa wazungu sishangai. Ila hawa wakwetu... sijui.
Kweli ya Mungu mengi
Jamii zetu huwa zinawahukumu zaidi kuliko sisi wanaume, ndio maana hawasemi ukweli mara nyingi. Turudi kwenye mada ya nguvu za kiume