Graxsam
Member
- Sep 23, 2021
- 74
- 69
Wadau kwa yeyote ambae amewahi kupona tatizo la nguvu za kiume, tunaomba msaada aliponaje au alitumia dawa gani had akapona kiufupi mimi nimeathirika na punyeto ila nishaacha baada ya kuona matatizo hivyo naomba msaada uume unasimama legelege pia unawahi kulala natanguliza shukrani.