Msaada kwa anayeyajua haya matunda

Msaada kwa anayeyajua haya matunda

Hizi kama vile tangawizi. Nimezoea kijijini kwetu. Majani yake yanaliwa na mbuzi. Siku hizi siwezi panda kwenye mti ila miaka hiyo i was soo bad. Napanda nakulaa na zingine naangua. Ama siyo hizi? Ila majan ndo yenyewe mbona na matunda. Tunayaita tangawizi

Sent using Jamii Forums mobile app

Tangawiz si yakupikia chai jaman,mm nina shida nayo nisaidie kuyapata naskia mazuri sana kwa wanawake I want them
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom