Msaada kwa anayeyajua haya matunda

Msaada kwa anayeyajua haya matunda

Sambia, nenda Lushoto yapo kwa wingi
Mmh sio sambia hizo bwana sambia ni hizi
Umenikumbusha mlalo kwetu kuna mti wa sambia ukiamka asubuhi tu unakuta zimeanguka vitunda vitamu hivi
20200123_191054.jpg
 
Naya
Mbona yapo mengi tu? Wewe kama unayahitaji, basi weka kiwango unacho hitaji, utalipa sh. ngapi kwa kilo moja, na pia uweke mawasiliano yako. Watajitokeza wengi tu.

Jaman anayeyajua anitafute nitampa hela anitumie, matapeli kaeni mbali.
 
Naya

Jaman anayeyajua anitafute nitampa hela anitumie, matapeli kaeni mbali.

Sasa hili la matapeli limetoka wapi tena? Mimi nimekuambia weka mawasiliano, sasa ukiombwa mawasiliano unaona watu ni matapeli.
 
Hizi kama vile tangawizi. Nimezoea kijijini kwetu. Majani yake yanaliwa na mbuzi. Siku hizi siwezi panda kwenye mti ila miaka hiyo i was soo bad. Napanda nakulaa na zingine naangua. Ama siyo hizi? Ila majan ndo yenyewe mbona na matunda. Tunayaita tangawizi
Mmh sio sambia hizo bwana sambia ni hizi
Umenikumbusha mlalo kwetu kuna mti wa sambia ukiamka asubuhi tu unakuta zimeanguka vitunda vitamu hiviView attachment 1332218

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi kama vile tangawizi. Nimezoea kijijini kwetu. Majani yake yanaliwa na mbuzi. Siku hizi siwezi panda kwenye mti ila miaka hiyo i was soo bad. Napanda nakulaa na zingine naangua. Ama siyo hizi? Ila majan ndo yenyewe mbona na matunda. Tunayaita tangawizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi kwetu tunaita sambia mkuu ni vitamu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom