Msaada kwa anayefahamu hali hii ninaopitia

Msaada kwa anayefahamu hali hii ninaopitia

Hii kesi yako ipo serious kidogo inapaswa kwenda hospital upate vipimo au ushauri na tiba ya daktari. Usipopata nafuu au kumaliza tatizo njoo hapa uelezee tiba ulizopatiwa kisha watu au daktari tofauti au bingwa watakushauri tiba nyingine.
Wengi wanafanya hivyo.
Ingekuwa magonjwa ya kawaida mfano ngozi wangekushauri hapahapa hata kabla ya hospital.
ok nimekuelewa wengi nivilaza humu.
 
sio fani yangu nitajuaje sasa.?

ok unaeewa nini kuhusu camshaft?
Mambo ya afya ambayo ni madogo madogo kama hayo sio ishu ya fani mzee, yaani kujua dalili za malaria, jinsi ya kujikinga na malaria ni ishu ya kua na fani ya udaktari mzee??

Hizo ulcers hata mashuleni tunazisoma, ukiwa na sonona, huli utaonywa kua utapata "ulcers wewe"
 
UNA MIMBA. HATA WIFE WANGU ALIKUWA KAMA HIVYO AKAPIMWA AKAKUTWA ANA MIMBA.
 
Daah nilitumia ommiplazo ilinisaidia sana kila baada ya masaa manane nameza kidogo kimoja .
 
Mambo ya afya ambayo ni madogo madogo kama hayo sio ishu ya fani mzee, yaani kujua dalili za malaria, jinsi ya kujikinga na malaria ni ishu ya kua na fani ya udaktari mzee??

Hizo ulcers hata mashuleni tunazisoma, ukiwa na sonona, huli utaonywa kua utapata "ulcers wewe"
toa ujinga wako hapa.unajifanya mjuaji kumbe hujiu
 
Pole sana.

Ni muhimu ukafika hospitalini ukaonane na daktari ili akufanyie uchunguzi na vipimo, ikiwemo choo (H-pylori) nk.

Dalili mojawapo ya madonda ya tumbo ni kupata maumivu ambayo wakati mwingine hupungua baada ya kula.

Kwa hiyo fika hospitalini ili uhudumiwe.

Kila la kheri.
Hiyo H. Pylori inasingiziwa tu ili watu wauze amoxyl kwa wingi
 
Back
Top Bottom