Msaada kwa anayefahamu hali hii ninaopitia

Msaada kwa anayefahamu hali hii ninaopitia

Kuna tatizo la tumbo kuuma limenianza kama siku tano hivi

Chakula kikipungua kidogo tu tumbo linaniuma kitu ambacho sio kawaida yangu

Hapa penyewe linaniuma nafanya hima nikanywe supu ili litulie

Shida ni nini wajuzi/wenye uzoefu

mana linanikosesha raha
Pole sana.

Ni muhimu ukafika hospitalini ukaonane na daktari ili akufanyie uchunguzi na vipimo, ikiwemo choo (H-pylori) nk.

Dalili mojawapo ya madonda ya tumbo ni kupata maumivu ambayo wakati mwingine hupungua baada ya kula.

Kwa hiyo fika hospitalini ili uhudumiwe.

Kila la kheri.
 
Pole sana.

Ni muhimu ukafika hospitalini ukaonane na daktari ili akufanyie uchunguzi na vipimo, ikiwemo choo (H-pylori) nk.

Dalili mojawapo ya madonda ya tumbo ni kupata maumivu ambayo wakati mwingine hupungua baada ya kula.

Kwa hiyo fika hospitalini ili uhudumiwe.

Kila la kheri.
asante mkuu
 
Back
Top Bottom