aliekatakamba humutuu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 1,072
- 1,741
Kuna tatizo la tumbo kuuma limenianza kama siku tano hivi
Chakula kikipungua kidogo tu tumbo linaniuma kitu ambacho sio kawaida yangu
Hapa penyewe linaniuma nafanya hima nikanywe supu ili litulie
Shida ni nini wajuzi/wenye uzoefu
mana linanikosesha raha
Chakula kikipungua kidogo tu tumbo linaniuma kitu ambacho sio kawaida yangu
Hapa penyewe linaniuma nafanya hima nikanywe supu ili litulie
Shida ni nini wajuzi/wenye uzoefu
mana linanikosesha raha