Geomatics wanahitaji na Physics pia kwa degree level...Ziko kibao course za bussiness zote
Mambo ya IT
Statistics & geomatics
AhaaaaaaaaaahBachelor of science in Mathematics
Bachelor of science with education
Bachelor of education in Mathematics
Hiyo ya mwisho ukisoma utakuja kunishukuru japo ni ualimu, ukiwa nondo hutojutia
Kati ya IT na Geomatics ipi imekaa vizuri mtaani kwa case ya ajira, tunaomba uzoefu wako mkuu.Ziko kibao course za bussiness zote
Mambo ya IT
Statistics & geomatics
Kati ya IT na Geomatics ipi imekaa vizuri mtaani kwa case ya ajira, tunaomba uzoefu wako mkuu.
Bachelor of banking and financeNaomba kujua zaid cource zinazo husu comb ya EGM
Geomatics iko ndani ya IT.?IT hutakaa ujutie hiyo geomatica ipo ndani ya IT
Geomatics is the best..Kati ya IT na Geomatics ipi imekaa vizuri mtaani kwa case ya ajira, tunaomba uzoefu wako mkuu.
Geomatics iko ndani ya IT.?
Mbona mnapenda kuongea vitu ambavyo hamvijui vizuri.
Shukran sana tena sana, ngoja nilifanyie kazi hili...Geomatics is the best..
You will thank me later Mkuu.
Japo ulikuwa stressed ila nadhani bado una jambo zuri ulitaka kushare nasi kati ya hizi kozi mbili, yaani geomatics na IT.IT hutakaa ujutie hiyo geomatica ipo ndani ya IT
Kozi zipo nyingi sana. Kwa maelezo ya ziada ,ushauri wa uhakika na muongozo wasiliana na Fulgent Careers kupitia namba 0769 524 022.Naomba kujua zaid cource zinazo husu comb ya EGM
Kwa uelewa wangu ukisemea IT ni pana sana mkuu mana utasoma kila aina ya technology dunianiJapo ulikuwa stressed ila nadhani bado una jambo zuri ulitaka kushare nasi kati ya hizi kozi mbili, yaani geomatics na IT.
Funguka mtu mzima watu tufaidike leo hata kesho.
Shukran sana mkuu, nadhani nitafanya chaguo lililo sahihi zaidi kutokana na michango ya wadau kama wewe.Kwa uelewa wangu ukisemea IT ni pana sana mkuu mana utasoma kila aina ya technology duniani
But geomatics ina deal
mambo ya environmental visualization zaidi (mambo ya uso wa dunia zaidi kama utabili wa hali ya hewa) ikihuaisha kiasi kidogo sana cha IT
Kwa uelewa wangu hapo geography inabidi iwe imelala huku IT hesabu kidogo iwe imelala