Mwenye kujua tuition centre/open school nzuri ya adanvanced level

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,289
21,469
Chagamoto kubwa tunao kabiliana nayo katika shule za advance za serikali ni ufundishaji duni katika advanced level licha yakua waalimu wa sayansi wapo ila watoto hawafundishwi ipasavyo, kweli tangu mtoto wa form five afungua shule amesoma topic moja tu ya physics na yenyewe haijaisha, chemistry ameandika nusu kurasa tu, kweli "cheap things are expensive"

Kwahiyo inabidi ni jiongeze natafuta waalimu wazuŕi wa comb ya PCB maeneo ya Mwenge, Mbezi ya Kimara, Goba Tangi mbovu, Tegeta nk.

Mwenye kujua kituo au waalimu wasio kua wababaishaji au waalimu jaa tafadhari msaada ili tusichelewe.
 
Chagamoto kubwa tunao kabiliana nayo katika shule za advance za serikali ni ufundishaji duni katika advanced level licha yakua waalimu wa sayansi wapo ila watoto hawafundishwi ipasavyo, kweli tangu mtoto wa form five afungua shule amesoma topic moja tu ya physics na yenyewe haijaisha, chemistry ameandika nusu kurasa tu, kweli "cheap things are expensive"

Kwahiyo inabidi ni jiongeze natafuta waalimu wazuŕi wa comb ya PCB maeneo ya Mwenge, Mbezi ya Kimara, Goba Tangi mbovu, Tegeta nk.

Mwenye kujua kituo au waalimu wasio kua wababaishaji au waalimu jaa tafadhari msaada ili tusichelewe.
Pole kwa kuchelewa kulijua hilo kwa shule za serikali tana bora huyo kasoma topic moja kuna shule hawamjui mwalimu.
 
Chagamoto kubwa tunao kabiliana nayo katika shule za advance za serikali ni ufundishaji duni katika advanced level licha yakua waalimu wa sayansi wapo ila watoto hawafundishwi ipasavyo, kweli tangu mtoto wa form five afungua shule amesoma topic moja tu ya physics na yenyewe haijaisha, chemistry ameandika nusu kurasa tu, kweli "cheap things are expensive"

Kwahiyo inabidi ni jiongeze natafuta waalimu wazuŕi wa comb ya PCB maeneo ya Mwenge, Mbezi ya Kimara, Goba Tangi mbovu, Tegeta nk.

Mwenye kujua kituo au waalimu wasio kua wababaishaji au waalimu jaa tafadhari msaada ili tusichelewe.
Kama una pesa nilipe ntakuja kumfundishia hapo hapo kwako.

Ntamfundisha Physics tu. Sababu mimi ni mfizikia ,, yes kibongo bongo Physics naijua.
 
Kama una pesa nilipe ntakuja kumfundishia hapo hapo kwako.

Ntamfundisha Physics tu. Sababu mimi ni mfizikia ,, yes kibongo bongo Physics naijua.
Sawa kunakuijua na kuifundisha huenda unaijua ila huna teaching methodology yake, na ujua tunasoma kufaulu mitihani sio kujua soma
 
Sawa kunakuijua na kuifundisha huenda unaijua ila huna teaching methodology yake, na ujua tunasoma kufaulu mitihani sio kujua soma
Kwani wewe ndio mwanafunzi???

Mwananfunzi mwenyewe akishafundishwa atatoa comment kwamba mwalimu kanyooka (anajua vitu) au unga unga.
 
Atakuwa mwanao mzembe !!


Advance Huwa hakuna kulazimishana. Ni chapu chapu anaelewa..,..... usipoelewa unaukizwa ukifauluje csee au uliingia na mondo,?
 
Bwana Covax lazima ukubali kujifunza.

Kuna namna unawachukulia wakubwa mfano wazazi,serikali,walimu kinamna ambayo unawataka kuyafanya majukumu ya wadogo mfano watoto,wananchi,wanafunzi respectivelly.

Mi nnashauri, mpe hela akatafute hiyo tuisheni.
Utakuwa umeanza kumsaidia kukua. Andaa huyo totoo kwa barabara, punguza kuandaa barabara kwa ajili ya huyo mtoto.

Kama ana simu ndio kabisaa, atakuwa anajua tayari tuisheni zipo wapi. Ila kama umemnyima hata sasa kuwa nayo basi kasome na ulitibu tatizo la u 'HELICOPTER PARENT' wewe mwenyewe.
 
Chagamoto kubwa tunao kabiliana nayo katika shule za advance za serikali ni ufundishaji duni katika advanced level licha yakua waalimu wa sayansi wapo ila watoto hawafundishwi ipasavyo, kweli tangu mtoto wa form five afungua shule amesoma topic moja tu ya physics na yenyewe haijaisha, chemistry ameandika nusu kurasa tu, kweli "cheap things are expensive"

Kwahiyo inabidi ni jiongeze natafuta waalimu wazuŕi wa comb ya PCB maeneo ya Mwenge, Mbezi ya Kimara, Goba Tangi mbovu, Tegeta nk.

Mwenye kujua kituo au waalimu wasio kua wababaishaji au waalimu jaa tafadhari msaada ili tusichelewe.
kidato cha sita, shule za serikali zinafanya vzr kuliko za private, Fatilia shule zinazofanya vzr za serikali, jipange kama na mil 1 hiv, mhamishie mtoto huko.
 
tafadhari msaada ili tusichelewe
Ushachelewa km ni PCB wanaowafanya wafaulu au wasifaulu ni hao hao walimu wao wa darasani hao hao ndio wanawafaulisha hata km hawakustahiri kufaulu na hao hao ndio wanaowafelisha hata km walistahiri kufaulu,
natafuta waalimu wazuŕi wa comb ya PCB
PCB kuna ududu mwingi sana hio combination walimu wake kuanzia BAM, Chemistry, Physics na Biology wapo km Miungu fulani hivi (wana laani na wana bariki sasa usiombe wakulaani) truth be told

Huwezi kumuokoa asifeli au kupata ufaulu mbaya kwa kumpeleka tuition sijui open school maana wanaojaza Maendeleo yake na Mahudhulio yake shuleni (assessment and attendance) na marks zake za darasani ni walimu wake wa darasani sio walimu wa tuition, unaona ubaya ulipo yaan banyani mbaya kiatu chake dawa

Km wamegoma kuwafundisha una Mambo mawili tu ya kufanya kumuokoa mwanao asifeli au asipate ufaulu mbaya

Namba 1. umuhamishe shule umpeleke shule nyingine unayoona wanafundishwa vizuri na wanafaulisha au

Namba 2. aairishe mwaka asome mwaka ujao yaan buni hata ugonjwa feki peleka kwa Mwalimu mkuu wa shule na vielelezo omba aendelee mwakani mwaka huu asimame masomo kwanza akijiandaa kwa ajili ya mwakani

Bila hivyo jiandae kupokea ZERO iliyopendeza hio ni ZERO nasisitiza hio ni ZERO na mwanao atakua amepoteza muda tu ambao angefanya Mambo mengine ya maana
 
Unakilaza nyumbani kadiri elimu inavyoenda juu inahitaji nguvu ndogo kutoka Kwa mwalimu ,mengine ajitafutie zaidi yaani hata tuisheni unatafuta mzazi? Unalemaza mtoto
Sio kweli mtoto gani atasoma tuisheni kwa Pesa yake mfukoni mtoto anafanya kazi wapi? Wengine mnatoa lawama za kijinga usilaumu kitu km hujui au huelewi
 
Atakuwa mwanao mzembe !!


Advance Huwa hakuna kulazimishana. Ni chapu chapu anaelewa..,..... usipoelewa unaukizwa ukifauluje csee au uliingia na mondo,?
Ndio maana wenye akili wanapita zao Diploma hao Chuo tena Diploma akifanya vizuri anapata kazi chapu haya form six utapata wapi kazi km huna degree?
 
kuna shule hawamjui mwalimu
Au wanakuja kumjua Mwalimu wa somo pepa limekaribia wanapigwa topic kwa kulambishwa lambishwa haya tayari wiki moja kabla ya mtihani wa Mwisho ndio wanaingia Lab kukaririshwa test tube na dissection kit kumbe mda wote huo Mwalimu alikua zake anafundusha private na mshahara wa Serekali anakula, wanavyofundishwa advance sio kusoma uelewe ni kusoma ufaulu meza kariri hata km hauelewi wewe mtihani ukifika nenda kayamwage km ulivyoyakariri ili mradi tu ufaulu utaelewa mbele ya Safari ukifika Chuo huko, ukiwa huku advance unapimwa kiwango chako cha kukariri kipoje sio kiwango chako cha kuelewa kipoje tofauti na wanaoenda Chuo kusoma Diploma wanapimwa uwezo wao wa kuelewa sio uwezo wao wa kukariri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom