Mbona unarahisisha mambo makubwa yawe mepesi, uibiwe halafu bima wakulipe, sawa inawezekana, ila sasa ukichukua mwenyewe ukauza, au kivyovyote vile watakulipaje, tupe elimu ya namna watakavyokulipa.Yes yes unakatia bima mkuu, mfano watu wengi wanapohamia maeneo mapya huibiwa sana
Ubaya umeongezeka sana,
katia bima kila kitu chako unachoona ni cha thamani, hata ikitokea balaa bima wakurudishe ulipokuwa,
Iwe simu, TV, friji na chochote unachoona hiki wahuni wakipita nacho nitadata
Ndio hivyo tu mkuu
Ingia tu Alibaba andika security sensors. Hizo hapo. Ni za solar ni nzuri maana zinapiga keleleHuna picha zake ndugu? Mimi nazitaka ili wanakijiji waseme mimi mchawi
Boss, usiitumie hii njia ovyo, watakuweka nyuma ya nondo hahahahahahNimekupata, kumbe simenti n balaa
Shukrani sana mkuuIngia tu Alibaba andika security sensors. Hizo hapo. Ni za solar ni nzuri maana zinapiga keleleView attachment 2582442
Mnanunua 70 inch TV kwenye vyumba vya kupanga.Sasa wewe hujui Dunia ina inchi zaidi ya 100+, kwann kusiwe na screen yenye at least inches 70 ili uweze kuiona Dunia yote.
Ukifunga hizo zitasaidia sana maana pia zitawastuaShukrani sana mkuu
Acha niishi nao maana mazoea yamezidi .Ukifunga hizo zitasaidia sana maana pia zitawastua
Chogo aina ipi sasa! Nadhani unatambua mfumo wa tv umebadilka sana ile technology ilishapita wakati wake long time...Hata ya chogo unaweza kuweka GPRS tracking device.
Zinaweza kulia kwa majini na mashetani mkuu, usiweke hioUnaweza weka sensa za milango na madirisha... au mtu akipita tu eneo ambalo hutaki basi itapiga kelele
Itakua hawakuja siku moja hao, walikuja wakafail wakaja tena, wakarudi, inawezekana mara ya nne ndio wamekuibiaCCTV camera hazisaidii sana maana wezi wanajiandaa na kuficha sura zao. Hata electric fence kuna namna watu wanapita bila kuzigusa.
Mbwa wanasaidia sana ingawa nao wanaweza kupigwa sumu dk 5 tu chali. Mie niliibiwa gari nina mbwa, camera, electric fence, ukuta kozi 11, geti la umeme na alarm ila wajinga walifanya yao na mbwa wote wanne walikufa kwa sumu.
Wezi wakipania hawakukosi
Habari za leo wanajamvi?
Naleta kwenu mada hii nikiwa na majonzi baada ya leo alfajiri kupigwa flat yangu Hisense 55inch.
Wezi wamefungua lock za alminium window na kupindisha nondo kisha wakazama ndani na kufanya yao.
Kiukweli hii hali inaumiza sana.
Naombeni ushauri wa security gani ya kuweka kuwazuia hawa watu.
Hivi cement IPO faster asanteUkimkamata mmoja, ni kumnywesha cement nusu kijiko kidogo cha chai, unamuacha aende zake, pumbavu!
Umefunga electricity fence tyr?Nashukuru sana kwa ushauri
We utakuwa ulisahau kufunga getiCCTV camera hazisaidii sana maana wezi wanajiandaa na kuficha sura zao. Hata electric fence kuna namna watu wanapita bila kuzigusa.
Mbwa wanasaidia sana ingawa nao wanaweza kupigwa sumu dk 5 tu chali. Mie niliibiwa gari nina mbwa, camera, electric fence, ukuta kozi 11, geti la umeme na alarm ila wajinga walifanya yao na mbwa wote wanne walikufa kwa sumu.
Wezi wakipania hawakukosi