Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,343
- 23,230
Hello Wakuu, miezi miwili iliyopita nilibadilisha Simu na nikafuta kila kitu kilichokua kwenye simu ya awali.
Bahati Mbaya, nilifuta meseji zilizokua na umuhimu sana kwangu kuna namna yoyote ya kuzirudisha zile meseji?
Simu ya zamani bado ninayo, asanteni.
Bahati Mbaya, nilifuta meseji zilizokua na umuhimu sana kwangu kuna namna yoyote ya kuzirudisha zile meseji?
Simu ya zamani bado ninayo, asanteni.