Msaada kupata software za hacking, Coding, na Antivirus

Msaada kupata software za hacking, Coding, na Antivirus

Kwenye Coding unataka apps za kuandika code mwenyewe au unataka code ambazo watu wameshaandika uwe unazifanyia mazoezi au unataka source code za project yoyote upate ujuzi au inakuaje?

Hapa naweza kusaidia kama ntaelewa ni kitu kipi unakitafuta hapa.Kama unatafuta apps kwa lengo la kuandika mwenyewe code tumia default app ya kwenye pc yako au download editor inaitwa Notepad++(ni ya bure) na ni rafiki kwa watumiaji wa level zote.Kama unatumia simu pia jaribu kutafuta app inaitwa Acode(inasupport JS,HTML and CSS) au Dcoder(Hii ina support lugha karibia zote lakini lazima data iwe on)
 
Siku hizi wanaJf wamebadirika, miaka ya nyuma tulikuwa tunasaidiana kama ndugu wa mama mmoja ila siku hizi hata uombe msaa wa kitu gani hupata ufumbuzi wa tatizo lako, Hili jambo linanisikitisha kweli
Ni kweli usemacho mkuu, Labda yale yaliyosemwa kuhusu dalili za kiama ama nyakati za kukaribia kwake yanatimia hivyo taratibu taratibu.
 
Kwenye Coding unataka apps za kuandika code mwenyewe au unataka code ambazo watu wameshaandika uwe unazifanyia mazoezi au unataka source code za project yoyote upate ujuzi au inakuaje?

Hapa naweza kusaidia kama ntaelewa ni kitu kipi unakitafuta hapa.Kama unatafuta apps kwa lengo la kuandika mwenyewe code tumia default app ya kwenye pc yako au download editor inaitwa Notepad++(ni ya bure) na ni rafiki kwa watumiaji wa level zote.Kama unatumia simu pia jaribu kutafuta app inaitwa Acode(inasupport JS,HTML and CSS) au Dcoder(Hii ina support lugha karibia zote lakini lazima data iwe on)
Shukrani sana mkuu, Kwa dutu hizi za thamani.
Nitaitafuta hiyo Acode.


Naomba uniongezee hizo za kutengenezea code mwenyewe.
 
Software za hacking? Download OS inaitwa Kali Linux, ni open source developed specifically for penetration test (hacking) alafu njoo nikufundishe functions zake kama sqlmap, hapo utajifunza namna ya kucheza na database, kuna command line ukifanikiwa kuingia kwenye database ya victim utaimanipulate as if wew ndo Data Admin.

Then kuna function kama SSL Strip, hii ni maalum kwa kuiba password za computer iliyokwenye system, wanaiita man in middle attack ukifanikiwa kuijua vizuri unaset computer ya victim kila atakachokifanya unakiona.

Alafu kuna metasploit, hii kwa ajiri ya kukomprimise computer ya victim hii ukiweza kuijua unaset code za vizuri ambazo ukiweza kufanikiwa kuingia kwenye computer ya victim unaweza iba doc zote zilizopo kwenye computer. Hapa mara nyingi ili kuingia computer huwa wanategeneza link then wanaisambaza kwa kama vile checkout this you have won... Au free internet... Au vyovyote vile ambavyo raia wanapenda vya bure then akikilick link metasploit anaingia then anaanza kufanya yake kulingana na ulivyomset.

Inshort kwenye kali Linux kuna kila kitu unachokihitaji kwa ajiri ya hacking. Nilipractise kipindi niko chuo nilijifunza vitu vingi vya hacking ila badae niliona ntakufa njaa kupata soko lake, other wise uwe bad guy na nikitu ambacho binasfi sikupenda nikaamua kuachana nayo..

Utakutana na huu msemo " The quiet you become the more your able to hear"
 
Dtech Ubarikiwe sana mkuu wangu.
Ni madini mazito mno haya na thamani yake si haba kabisa.
Sikuiti tena kwa jina lako bali utaitwa "DTECKMNYAMA".
Nakuja inbox a/c zangu mbili zimefanyiwa.
 
Python & PHP.
Kwa python siwezi toa pendekezo bora kwa maana sio mtumiaji wa muda mwingi lakini kuna IDE nyingi unaweza jaribu moja inaitwa pydev kama sijakosea ambayo inapatikana kwenye tovuti ya eclipse.org

Kwa PHP hapa ndipo uwanja wa nyumbani.Kuna njia nyingi za kufanya kazi na PHP.Njia ya kwanza na nyepesi ni kuinstall program inaitwa XAMMP ambayo inapatikana kwenye tovuti ya apachefriends.org(faida ya hii hapa ni kwamba utakuwa na Apache kama server utakuwa na MariaDB au MySql database,inafanya kazi na OS zote).

Lakini pia ipo njia nyingine ambayo ina changamoto kidogo na hii unatumia Command Line kwenye pc yako.Ugumu wa hii njia ni kwamba huwezi kufanya kazi na database ndio maana siwezi pendekeza hii njia.

Mwisho kabisa kama unatumia simu kuandika code tafuta app inaitwa DCODER hii inasupport karibia lugha zote na python ikiwemo
 
Kwa python siwezi toa pendekezo bora kwa maana sio mtumiaji wa muda mwingi lakini kuna IDE nyingi unaweza jaribu moja inaitwa pydev kama sijakosea ambayo inapatikana kwenye tovuti ya eclipse.org

Kwa PHP hapa ndipo uwanja wa nyumbani.Kuna njia nyingi za kufanya kazi na PHP.Njia ya kwanza na nyepesi ni kuinstall program inaitwa XAMMP ambayo inapatikana kwenye tovuti ya apachefriends.org(faida ya hii hapa ni kwamba utakuwa na Apache kama server utakuwa na MariaDB au MySql database,inafanya kazi na OS zote).

Lakini pia ipo njia nyingine ambayo ina changamoto kidogo na hii unatumia Command Line kwenye pc yako.Ugumu wa hii njia ni kwamba huwezi kufanya kazi na database ndio maana siwezi pendekeza hii njia.

Mwisho kabisa kama unatumia simu kuandika code tafuta app inaitwa DCODER hii inasupport karibia lugha zote na python ikiwemo
Nashukuru sana mkuu, Umenipatia muongozo murua kabisa huu.
 
Software za hacking? Download OS inaitwa Kali Linux, ni open source developed specifically for penetration test (hacking) alafu njoo nikufundishe functions zake kama sqlmap, hapo utajifunza namna ya kucheza na database, kuna command line ukifanikiwa kuingia kwenye database ya victim utaimanipulate as if wew ndo Data Admin.

Then kuna function kama SSL Strip, hii ni maalum kwa kuiba password za computer iliyokwenye system, wanaiita man in middle attack ukifanikiwa kuijua vizuri unaset computer ya victim kila atakachokifanya unakiona.

Alafu kuna metasploit, hii kwa ajiri ya kukomprimise computer ya victim hii ukiweza kuijua unaset code za vizuri ambazo ukiweza kufanikiwa kuingia kwenye computer ya victim unaweza iba doc zote zilizopo kwenye computer. Hapa mara nyingi ili kuingia computer huwa wanategeneza link then wanaisambaza kwa kama vile checkout this you have won... Au free internet... Au vyovyote vile ambavyo raia wanapenda vya bure then akikilick link metasploit anaingia then anaanza kufanya yake kulingana na ulivyomset.

Inshort kwenye kali Linux kuna kila kitu unachokihitaji kwa ajiri ya hacking. Nilipractise kipindi niko chuo nilijifunza vitu vingi vya hacking ila badae niliona ntakufa njaa kupata soko lake, other wise uwe bad guy na nikitu ambacho binasfi sikupenda nikaamua kuachana nayo..

Utakutana na huu msemo " The quiet you become the more your able to hear"
Hapa ninaswali kidogo. Udukuzi katika android unafanyikaje.
 
Back
Top Bottom