NI KWELI HUDUMA HII MI MWENYEWE NILIKUA NAITUMIA ,KAMA MWEZI SASA INASUMBUA SANA ILA KWA WENGINE BADO INAKUBALI.
Jaribu kwa kufungua sehemu ya kuandikia ujumbe mfupi,
andika J250 kama unataka dakika 15
na J500 kwa dakika 45.
Alafu itume kwenda namba 15558.
MUHIMU:
1.Hakikisha un pesa zaidi ya 250 au 500 ili wakate hela yao,I mean ukiwa na exactly amount hawatakupa i.e dk 15 uwe na Tsh zaidi ya 258 na kuendelea kwa dk 45 uwe na zaidi ya 510 na kuendelea.
2.Huduma hii ilikuwa inapatikana mchana kutwa hadi dk zako ziishe ila si zaidi ya saa 1800hrs.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.